Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Another SHEKHE GIZA YAHYA..! KAZI KUIBUA VIROJA TU..
UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Kwa hiyo badala yake kutakuwa na nini?UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Another SHEKHE GIZA YAHYA..! KAZI KUIBUA VIROJA TU..
Mzee wa Rula usimpinge mtoa hoja kwa kuwa ametangulia kutoa angalizo ya kuwa anatabiri so huwezi kumlaumuUchaguzi utakuwepo kwa maana hali ya serikali siyo nzuri kiasi cha kuruhusu kuchezea rsailimali kienyeji namna hiyo! Uchaguzi utafanyika ila utataliwa na vituko vingi sana ambavyo vitaandika historia mpya katika uchaguzi, uchaguzi huu ni zaidi ya simba na yanga.
UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!