Blackafrica
Senior Member
- Jun 26, 2021
- 141
- 401
Pamoja na umri wake kuwa mkubwa, lakini hakuna shaka akipewa majukumu ya urais atayaweza kikamilifu, kwani sifa zote anazo ni muadilifi na mzalendo. Hawa wengine wanaopigiwa chapuo kuwa marais naona hakuna wa kumzidi huyu mjamaa
Ccm mkitaka wananchi tuwaelewe mwaka 2025 mtuletee mzee Mangula, pia huyu mzee anatokea kanda ambayo ina wananchi wenye uchungu sana na nchi hii, ifike mahari mikoa ya Iringa, Mbeya, Songea, Sumbawanga itoe rais, ule mchaka mchaka wa Magufuli utakuwa mara mia na watanzania tutapa maendeleo ya nguvu
Tuachane na hawa viongozi ambao hawana ujasili wa kuitetea nchi, wao ni kujibembeleza tu kwa wazungu wawaonee huruma, nchi itakuwa haipigi hatua zozote za maendeleo, kazi kwetu wananchi tumpiganie huyu mzee wa CCM awe rais kwa sharti pia atuletee katiba mpya.
Team Mangula nyoooshaaaa mikono juuuu!!!
Ccm mkitaka wananchi tuwaelewe mwaka 2025 mtuletee mzee Mangula, pia huyu mzee anatokea kanda ambayo ina wananchi wenye uchungu sana na nchi hii, ifike mahari mikoa ya Iringa, Mbeya, Songea, Sumbawanga itoe rais, ule mchaka mchaka wa Magufuli utakuwa mara mia na watanzania tutapa maendeleo ya nguvu
Tuachane na hawa viongozi ambao hawana ujasili wa kuitetea nchi, wao ni kujibembeleza tu kwa wazungu wawaonee huruma, nchi itakuwa haipigi hatua zozote za maendeleo, kazi kwetu wananchi tumpiganie huyu mzee wa CCM awe rais kwa sharti pia atuletee katiba mpya.
Team Mangula nyoooshaaaa mikono juuuu!!!