The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Lowassa kawania urais mara moja? 1995 ulikuwa ushazaliwa kama bado waulize Wakubwa zako nani alikakatwa kwa kosa la kuwa na Mali nyingi kuliko Umri na akili zake?
Inawezekana nilikuwa sijazaliwa.
Hebu nikuulize wewe "mkubwa" wangu uliyekuwa umezaliwa;
Hivi aliwania Urais wa nchi gani eti?
Japo nilikuwa sijazaliwa, kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa wagombea wakubwa wa Urais wa Tanzania ktk uchaguzi wa mwaka huo waliokabana koo kisawasawa walikuwa ni;
1. B.W. Mkapa (CCM) na;
2. A.L. Mrema (NCCR Mageuzi)
Na ktk uchaguzi huo Benjamin W. Mkapa wa CCM aliibuba mshindi chini ya uchaguzi wa kwanza uliohusisha vyama vingi!!
Si hivyo tu, kumbukumbu yangu inaniambia Edward Lowassa alikuwa ni mwanaCCM bado wakati huo
Plz, hebu niambie huyu mzee yawezekana aliwania Urais wa Tanzania nisiyoifahamu mimi
Ama la, wewe unamaanisha kitu kingine.......Lowassa kuutamani Urais na kuomba ridhaa ya chama chake kimpe nafasi kuwa mgombea urais wa TZ
Kama ndivyo unavyomaanisha, basi Lowassa ameshaomba chama chake cha awali mara nyingi tu i.e CCM kimteue awe mgombea wa wa Urais wa TZ na kubali tu kuwa hiyo ni hoja tofauti kabisa na quatation yangu ya mwanzo ktk hoja yako!!