Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Nasikitika kuona serikali imetususa kabisa.Juzi nilikutana na madereva wa treni zaidi ya wa 5 wakilalamikia ubovu wa reli,na uchakavu wa engine.Baada ya magenge kuvunjwa na wale wahind koko ubovu wa reli umeimarika mara dufu.Sehemu ambazo walikuwa wanapita na spid 70 sasa wanapita kwa spid 40.Pia wanasema engine nying hazina viwango na kufel break ni rahis sana...,bila kusahau abiria weng huwa tunapanda bila ya kuwa na ticket hivyo kusababisha msongamam mkubwa.Hakuna pa kulalamikia zaidi ya hapa jamvini.Pia usisahau kwamba kila kukicha haya madude yana acha njia jaman.