Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Lowassa alipojiuzulu watu
Lowassa alipojiuzulu watu fulani walimtangaza fisadi kwa miaka 8. Hao hao tena alipojiunga Chadema wakasema ni MalaikaUsisahau watanzania kwa unafiki tuko juu
Nyerere watu walikuwa wanapanga foleni kununua unga wa Yanga
na bado walilia alipojiuzulu..