Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Wafuasi wa mboe/chadema ndio wanao tamani sana nchi ivurugike.

ni kama mafisi inavyo tamani mkono wa binaadamu uanguke ili yautafune.

Chadema, Jengeni utamaduni wa kuipenda nchi yenu, acheni kuiombea nchi mambo mabaya.

Chadema jifunzeni uzaalendo wa kuipenda nchi yenu kama kweli nyinyi ni watanzania, acheni kufuata chuki za Lema na wenzake.

Kwa chuki hizi msitegemee kupata hata mwenyekiti wa Serikali ya mtaa.
 
TumainiEl post zako mara nyingi huwa zinakuwa na ukweli ndani yake, huenda upo kwenye Deep state.
Nakumbuka 2020 ulitoa post fulani juu ya kuliombea taifa baadaye July 2020 km sikosei BWM akatangulia mbele ya haki 2021 JPM akatuacha pamoja na Maalim Seif Sharifu Hamad, Katibu Mkuu kiongozi Kijazi injinia Mfungale nk nk.
Mungu anisaidie Ila Rostiam Azizi, Kinqnq na Jk nawachukia Mungu atawalipa kulingana na wanachokipanda kwa taifa hili.
Wamefanya nn rostam, kinana na JK au kujichulia zambi tuu..??
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Hakuna cha ndoto wala ruya hapa.
TANZANIA ITAJENGWA NA KULINDWA NA SISI WENYEWE
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Acha kujipa mizigo kichwani shida kubwa ilikuwa ni mzee wa nyumba kubwa ndo alikuwa kiongoz wa sukumagang saivi kina kiroboto ata hutawasikia tena ni vile alimtanguliza kiroboto na alipoonga hajaulizwa kitu akaona ngoja aingie mwenyewe kichwa kichwa
 
chorus za mwisho mwisho hapo kwenye mataifa makubwa ndio sehemu hatari sana panapotisha.

the world mafioso, are watching closely and calculating all posibilities....our failure to handle and weigh every stage will favor them..

Magufuri amekufa, TL amekoga marisasi dodoma makao makuu mchana..TL yuko uhamishoni akafuatiwa na Lema baada tu ya uchaguzi, Mbowe yuko mahabusu.....Leo Spika is out....hatujui ya kesho, Matukio mageni mageni tu kwa Taifa....

dots ni nyingi sana, unatakiwa ujue kuziunga.

Ongeza na hili, RPF is in Mozambique, the southern Tanzania, Total is dip inside Tanzania now to expand its business..
Hiki kifungu cha maneno cha mwishooooo mmmmh
 
Kwa haya yanayoendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuatilia kwa ukaribu kile kinachojili kwenye wigo wa siasa za nchi yetu.

Keep praying each passing seconds in your faith.
Wacha tufike mwisho wa huu wendawazimu wa chama hiki, lazima tutokelezee na KATIBA MPYA, ni jambo ambalo wamebisha ila MUNGU MUWEZA WA YOTE aloshalipitisha ili ujinga udhibitiwe nchii hii iliyogeuzwa shamba la bibi , watu wanavuna matrililioni ya rasilimali zetu, na hakuna kitu wanaogopa, mwisho ni huu,
 
Hawa watu ni wahuni sana, wapuuzi na magenge Yao ya wahuni.... Wengine wakiona wanakaribia kunyanganywa ugali wanaanza kutuambia tuwaombee wakati wanakula wenyewe kila kitu.... Ubinafsi walio nao uwaue wenyewe


Hakuna wa kuwaombea this time
Anakula peke yake. Akitaka kupokonywa tonge anasema tumuombee ili aendelee kula na ndugu zake
 
Hakuna cha siri wala nini. Kuna Sukuma gang, linajulikana. Wanafik watupu kama vile pascal njaa kali.
Kwanza in reality hakuna kundi la Sukuma Gang ambalo lina exist in reality, it's just an imaginary group created na yule mzushi wa Twitter kwa chuki zake dhidi ya JPM, ndio akabuni uzushi huo wa uwepo wa kundi hilo.

2. Japo mimi ni Msukuma lakini siko kwenye kundi lolote la Usukumamaizeshen, siungi mkono ukanda na ukabila wowote, tena ni mimi ndio nililishauri Bunge letu kutafuta ukweli wa tuhuma hii Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.
Na mwisho, akitokea mtu anakupenda kwa dhati, ataendelea tuu kukupenda hata umtukane vipi!, kwasababu anakuwa amekufa, ameoza!, haoni, hasikii!, kwa kifupi ni yuko hoi bin taaban...
P
 
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Tafadhari Mshana Jr huko uliko fungua vitabu vya mambo yako na utudadavulie hizi dot..!
 
75 Reactions
Reply
Back
Top Bottom