Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Mimi pia nilikuwa naiona Tanzania ni Nchi ya kawaida kama Nchi zingine,

Bt nilipokuja kufahamu kuwa Nchi hii ndo mhimili wa Dunia nzima ktk Ulimwengu wa ROHO niliogopa, kumbe Israeli haiifikii Tanzania, I was shocked.

The time has come, and that time is now, Tutaiona the real Tanzania.

Tanzania ni kama sufuria lililowekwa juu ya mafiga MATATU, unaweza ondoa mafiga yote na Bado sufuria likaendelea kubaki mahala pake sababu yupo aliyeishikilia.

Amen, Amen, Amen.
 
Mleta mada uliwahi 'kutabiri' chochote ktk ukoo au ndugu zako ?
Je uliotabiri walikufa kweli au magumashi?
ndio maana bange zinakatazwa kwa nguvu zote wandugu!
 
Wewe ndiye mwenye akili fupi, ungekuwa na akili ndefu usingeambulia kura moja,yako mwenyewe.

Watu wanapoongolea sukuma gang wanaongelea wale wenye tabia kama zako, ndumila kuwili. Au wenye tabia kama za panya, huku unauma huku unapuliza.

Mnajulikana.
Mnafiki hajifichi, bora ulivyompa ukweli wake, ni ndumilakuwili mbobezi,




Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa.

Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko la mzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili. Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.

Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa.
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa. Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Wenye wasiwasi na kinachoendelea ni wale waliozoea kuishi kwa jasho la wengine, wale waliozoea kuvuja mali za umma, wale waliozoea kushinda chaguzi bila kupingwa, wale waliozoea kuumiza wengine wasijulikane na wale waliozoea kukiuka sheria za nchi na kujiona wako juu ya sheria.
 
Wenye wasiwasi na kinachoendelea ni wale waliozoea kuishi kwa jasho la wengine, wale waliozoea kuvuja mali za umma, wale waliozoea kushinda chaguzi bila kupingwa, wale waliozoea kuumiza wengine wasijulikane na wale waliozoea kukiuka sheria za nchi na kujiona wako juu ya sheria.
Nakuunga mkono hoja!! Na sukuma gang ndicho walichozoea ndo maana wanatapatapa walishajua kwa uongozi wa yule jamaa wao watabebwa kwa mbeleko kila mahali,,
 
Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa.

Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko la mzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili. Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kwa vile mama anaongoza serikali kwa kuwashirikisha wadau wa siasa na wzee wa Taifa hili ndo maana unaona Kimya kimetanda .Hakuna sauti hata za wapinzani zimesita.
Huyu Mama ni Nguli wa SIASA wa kupigiwa mfano duniani.
Wewe Omba mama awe na Afya na Umri Mrefu.
Napendekeza Mama 2025 iwe ndio kipindi chake cha kwanza ,kwa vile hii minne kamshikia Magu uraisi wake kwa mujibu wa katiba yeye si Raisi wa kuchaguliwa.
Anaendesha mambo vyema kwa UADILIFU wa HAL YA JUU.
Mungu Ambariki sana katika Uongozi wake.
 
Kwa vile mama anaongoza serikali kwa kuwashirikisha wadau wa siasa na wzee wa Taifa hili ndo maana unaona Kimya kimetanda .Hakuna sauti hata za wapinzani zimesita.
Huyu Mama ni Nguli wa SIASA wa kupigiwa mfano duniani.
Wewe Omba mama awe na Afya na Umri Mrefu.
Napendekeza Mama 2025 iwe ndio kipindi chake cha kwanza ,kwa vile hii minne kamshikia Magu uraisi wake kwa mujibu wa katiba yeye si Raisi wa kuchaguliwa.
Anaendesha mambo vyema kwa UADILIFU wa HAL YA JUU.
Mungu Ambariki sana katika Uongozi wake.
Ni kweli lakini awe muangalifu sana na zile sifia sifia za Machawa na walamba Asali ambao wamemzunguka kila kona !! Ajitahidi kupata system yake private itakayokuwa inamdokeza hali halisi ilivyo. !! Mwalimu alikuwa mjanja sana alikuwa anawaalika watu wa kawaida kabisa huko Ikulu kucheza nao Bao lakini humo humo alikuwa anapata kujua mambo mengi zaidi yanayoendelea katika jamii !!
 
Wanabodi,
As days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

Si kweli!. The Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!.

Pia sii kweli!, bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!.

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!.

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema!. Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!.

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang!. This is not fair at all!. Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!.

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma!. Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!.

P
Hon the learned Adv you have sincerely spoken your heart and that is what preempts the fictitious character profiling. I fully concur with your observation. All people who had been loyal to JPM and have been excluded from the current government are considered members of the fictitious group which in reality doesn't exist anywhere rather than an ideological stance.
 
Hon the learned Adv you have sincerely spoken your heart and that is what preempts the fictitious character profiling. I fully concur with your observation. All people who had been loyal to JPM and have been excluded from the current government are considered members of the fictitious group which in reality doesn't exist anywhere rather than an ideological stance.

Alipata kura 1 lakini, unalijua hilo?
 
Kwa vile mama anaongoza serikali kwa kuwashirikisha wadau wa siasa na wzee wa Taifa hili ndo maana unaona Kimya kimetanda .Hakuna sauti hata za wapinzani zimesita.
Huyu Mama ni Nguli wa SIASA wa kupigiwa mfano duniani.
Wewe Omba mama awe na Afya na Umri Mrefu.
Napendekeza Mama 2025 iwe ndio kipindi chake cha kwanza ,kwa vile hii minne kamshikia Magu uraisi wake kwa mujibu wa katiba yeye si Raisi wa kuchaguliwa.
Anaendesha mambo vyema kwa UADILIFU wa HAL YA JUU.
Mungu Ambariki sana katika Uongozi wake.
Mawazo yako au maombi yako ni mazuri sana kwa mustakabali wa utangamano wa taifa letu.

Lkn wafuasi wa mwendazake kamwe hawalitaki kabisa kulisikia hilo jambo utangamano.
 
Back
Top Bottom