Mimi pia nilikuwa naiona Tanzania ni Nchi ya kawaida kama Nchi zingine,
Bt nilipokuja kufahamu kuwa Nchi hii ndo mhimili wa Dunia nzima ktk Ulimwengu wa ROHO niliogopa, kumbe Israeli haiifikii Tanzania, I was shocked.
The time has come, and that time is now, Tutaiona the real Tanzania.
Tanzania ni kama sufuria lililowekwa juu ya mafiga MATATU, unaweza ondoa mafiga yote na Bado sufuria likaendelea kubaki mahala pake sababu yupo aliyeishikilia.
Amen, Amen, Amen.
Bt nilipokuja kufahamu kuwa Nchi hii ndo mhimili wa Dunia nzima ktk Ulimwengu wa ROHO niliogopa, kumbe Israeli haiifikii Tanzania, I was shocked.
The time has come, and that time is now, Tutaiona the real Tanzania.
Tanzania ni kama sufuria lililowekwa juu ya mafiga MATATU, unaweza ondoa mafiga yote na Bado sufuria likaendelea kubaki mahala pake sababu yupo aliyeishikilia.
Amen, Amen, Amen.