Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Ipo haja ya kukiokoa kizazi hiki na janja janja ya hayo machadema,Hahahahaha wakikusikia watakuja na povu kama wamelishwa sumu,yaani kule ndani sijui wanawafanya nn vijana wetu maana wakitoka huko akili mbovu kabisa na hapo viroba vimefungiwa
Hilo ni jukumu letu sisi wazalendo wote.