Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
Jamani hivi hii kitu inanitokea mimi peke angu?
Nimeweka kifurushi more than 15gb kimeisha ndani ya dakika 20 na sielewi ni kitu gani nimetumia maana simu ilikuwa inacharge. Nimenunua kifurushi kingine 10 GB nikazima data, nimeamka tena naambiwa kifurushi kimeisha. Sasa nataka kuwashtaki hawa Vodacom maana hii imetokea mara mbili sasa na naona nina fedha za kupoteza muda. naanzaje? maaana nasikia unaweza anza na TCRA kwanza.
Nimeweka kifurushi more than 15gb kimeisha ndani ya dakika 20 na sielewi ni kitu gani nimetumia maana simu ilikuwa inacharge. Nimenunua kifurushi kingine 10 GB nikazima data, nimeamka tena naambiwa kifurushi kimeisha. Sasa nataka kuwashtaki hawa Vodacom maana hii imetokea mara mbili sasa na naona nina fedha za kupoteza muda. naanzaje? maaana nasikia unaweza anza na TCRA kwanza.