Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 521
- 516
Wakuuu salaam.
Nina katoto kangu kanasumbuliwa na vidonda vya mara kwa mara, kwenye fizi na ndani ya mdomo.
Amepelekwa hospital Mara kwa Mara.
Akipewa dawa vinaisha kwa muda na kuanza Tena.
Naomba msaada je apewe Nini ili hili tatizo liishe?
Asanteni sana
Nina katoto kangu kanasumbuliwa na vidonda vya mara kwa mara, kwenye fizi na ndani ya mdomo.
Amepelekwa hospital Mara kwa Mara.
Akipewa dawa vinaisha kwa muda na kuanza Tena.
Naomba msaada je apewe Nini ili hili tatizo liishe?
Asanteni sana