Nasumbuliwa na maradhi ya tumbo na tonsils mara kwa mara

NDUGU ZANGU MM NI KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 29 NINA MKE NA MTOTO MMOJA, NAOMBENI MSAADA WA KUTATUA HAYA MARADHI YAFUATAYO KWA HISTORIA FUPI HPO CHINI.
MWAKA 2017 NILIPATA MARADHI YA TUMBO, NILIUGUA SANA! HOSPITALI VIPIMO MAJIBU YALIKUJA SINA MARADHI YTE KUANZIA KANSA, VIDONDA VYA TUMBO NA MENGINE. KWA SKU ZOTE HZO NILIENDELEA KUTUMIA DAWA ZA MAUMIVU! HATIMAYE NIKAPOA KABISA. BAADA YA MIEZI MITANO MBELE NILIUGUA TENA TUMBO KWA MAUMIVU MARA MBILI YA AWALI, AWAMU HII MAJIBU YALITOKA NIKIWA NA HENIA YA KITOVU KWA MATOKEO YA KIPENYO KIDOGO SANA. WIKI MBILI MBELE NIKAFANYIWA UPASUAJI MDOGO WA KUKIFUNGA TENA KITOVU! NAMSHUKURU MUNGU NILIPONA KABISA NA SKUUMWA TENA TUMBO.
MWAKA 2018 NIKAANZA KUSUMBULIWA NA TONSILS KWA KIPINDI CHA MIEZI MITANO! IKAFIKIA KIASI CHA KUSHINDWA KULA! HVYO NAYO NIKAFIKIA HKOHKO KWENYE UPASUAJI WA TONSILS! CHA KUSHANGAZA TATIZO LA TUMBO BADO LINAKUJA MARA KWA MARA NA MATOKEO SINA MARADHI YA TUMBO, NA BDO NAPATA SANA SHIDA KOONI.
MSAADA JAMANI YYTE NAYEJUA TIBA, USHAURI
Mkuu, kabla ya kuishi na huyu mwanamke uliye naye sasa.....ulishawahi kumdanganya mwanamke yeyote kuwa utamuoa? Matatizo mengine ni sisi wanaume wenyewe tunajitakia, mtu anakuwa na nyege anahamua tu kumdanganya mwanamke ili apewe show mara baada ya hapo anaingia mitini. Unampa matumaii mtoto wa watu unategemea nini? Sikulaumu ila makala yako yamenikumbusha tukio lililomtokea mjomba wangu miaka ya nyumba (in the 90s). Alikuwa anamla mtoto wa watu baada ya kumdanganya kuwa atamuoa na akawa anamtambulisha kwa baadhi ya marafiki zake, mwisho wa siku akamtema. Demu akapoteza dira akageukia kwa babu na kumkomoa mjomba wangu. Mjomba alikuja kuugua sana na kukondeana mpaka watu wakahisi ana ukimwi. Mke aliyekuwa anatembea naye baada ya yule aliyemdanganya kuoa akaja kufa katika mazingira ya kutatanisha. Alikufa porini kule Temeke kwa Limboka, yaani aliondoka nyumbani akiwa anapika. Mjomba anarudi anakuta chakula kiko jikoni mke hayupo na kila kitu ndani kiko fresh. Mjomba akakaa mpaka usiku kusubiri mke arudi lakini wapiiiiiii, Asubuhi yake mjomba akaenda kutoa ripoti polisi, mke akaja kupatikana siku ya tatu porini kajiua kwa kujificha. Baada ya hapo, mjomba alikuja kupata maradhi ya hajabu, mara uume usinyae na pumbu kujaa maji au pumbu moja kuwa kubwa kama mshipa (puto) ila akipimwa hospitali hana ugonjwa wowote. Mjomba kapona majuzi tu 2015 baada ya kupata mateso kwa miaka yote hiyo. Kazeeka na hana mtoto wala kuwa na hamu ya mwanamke. Pole mkuu sikutishii hapa ila nakupa ushuhuda tu.
 
Mkuu, kabla ya kuishi na huyu mwanamke uliye naye sasa.....ulishawahi kumdanganya mwanamke yeyote kuwa utamuoa? Matatizo mengine ni sisi wanaume wenyewe tunajitakia, mtu anakuwa na nyege anahamua tu kumdanganya mwanamke ili apewe show mara baada ya hapo anaingia mitini. Unampa matumaii mtoto wa watu unategemea nini? Sikulaumu ila makala yako yamenikumbusha tukio lililomtokea mjomba wangu miaka ya nyumba (in the 90s). Alikuwa anamla mtoto wa watu baada ya kumdanganya kuwa atamuoa na akawa anamtambulisha kwa baadhi ya marafiki zake, mwisho wa siku akamtema. Demu akapoteza dira akageukia kwa babu na kumkomoa mjomba wangu. Mjomba alikuja kuugua sana na kukondeana mpaka watu wakahisi ana ukimwi. Mke aliyekuwa anatembea naye baada ya yule aliyemdanganya kuoa akaja kufa katika mazingira ya kutatanisha. Alikufa porini kule Temeke kwa Limboka, yaani aliondoka nyumbani akiwa anapika. Mjomba anarudi anakuta chakula kiko jikoni mke hayupo na kila kitu ndani kiko fresh. Mjomba akakaa mpaka usiku kusubiri mke arudi lakini wapiiiiiii, Asubuhi yake mjomba akaenda kutoa ripoti polisi, mke akaja kupatikana siku ya tatu porini kajiua kwa kujificha. Baada ya hapo, mjomba alikuja kupata maradhi ya hajabu, mara uume usinyae na pumbu kujaa maji au pumbu moja kuwa kubwa kama mshipa (puto) ila akipimwa hospitali hana ugonjwa wowote. Mjomba kapona majuzi tu 2015 baada ya kupata mateso kwa miaka yote hiyo. Kazeeka na hana mtoto wala kuwa na hamu ya mwanamke. Pole mkuu sikutishii hapa ila nakupa ushuhuda tu.
Hatar
 
Mkuu, kabla ya kuishi na huyu mwanamke uliye naye sasa.....ulishawahi kumdanganya mwanamke yeyote kuwa utamuoa? Matatizo mengine ni sisi wanaume wenyewe tunajitakia, mtu anakuwa na nyege anahamua tu kumdanganya mwanamke ili apewe show mara baada ya hapo anaingia mitini. Unampa matumaii mtoto wa watu unategemea nini? Sikulaumu ila makala yako yamenikumbusha tukio lililomtokea mjomba wangu miaka ya nyumba (in the 90s). Alikuwa anamla mtoto wa watu baada ya kumdanganya kuwa atamuoa na akawa anamtambulisha kwa baadhi ya marafiki zake, mwisho wa siku akamtema. Demu akapoteza dira akageukia kwa babu na kumkomoa mjomba wangu. Mjomba alikuja kuugua sana na kukondeana mpaka watu wakahisi ana ukimwi. Mke aliyekuwa anatembea naye baada ya yule aliyemdanganya kuoa akaja kufa katika mazingira ya kutatanisha. Alikufa porini kule Temeke kwa Limboka, yaani aliondoka nyumbani akiwa anapika. Mjomba anarudi anakuta chakula kiko jikoni mke hayupo na kila kitu ndani kiko fresh. Mjomba akakaa mpaka usiku kusubiri mke arudi lakini wapiiiiiii, Asubuhi yake mjomba akaenda kutoa ripoti polisi, mke akaja kupatikana siku ya tatu porini kajiua kwa kujificha. Baada ya hapo, mjomba alikuja kupata maradhi ya hajabu, mara uume usinyae na pumbu kujaa maji au pumbu moja kuwa kubwa kama mshipa (puto) ila akipimwa hospitali hana ugonjwa wowote. Mjomba kapona majuzi tu 2015 baada ya kupata mateso kwa miaka yote hiyo. Kazeeka na hana mtoto wala kuwa na hamu ya mwanamke. Pole mkuu sikutishii hapa ila nakupa ushuhuda tu.
boss! alikuwepo lkin yy ndo alinikimbia! na kwenda kwa bwana wke wa zamani! ni historia kidog boss
 
Tafuta hata jirani na eneo hilo Mkuu.

Nilichomaanisha ni kuwa, uchawi unatofautiana, mchawi wa kabila A atakuloga tofauti na mchawi wa kabila B, na waganga wengine watakuangalia wajue umelogwa wasijue kukutibu, namna ya kukutibu wanajua vizuri waganga wa Yale maeneo waliokuloga wanapopatikana.
boss! nashukur bhna inabidi nijitahd nifany hvyo! mungu akubariki
 
hapana ndugu siharishi, ila linauma chini si mara kwa mara na mda mwngine kama kitu kinapita! kwenda kushoto na kurudi kulia
inawezekana ni kama lilolompata mwanangu
hospital mwenyewe wakasema hana ugonjwa
nilimpa dawa za kisunna ndo mpaka Leo sijamsikia analallamika
 
inawezekana ni kama lilolompata mwanangu
hospital mwenyewe wakasema hana ugonjwa
nilimpa dawa za kisunna ndo mpaka Leo sijamsikia analallamika
ndugu ulimpa dawa gani ya kisunna? me nimetumia baadhi lakini siponi moja kwa moja
 
Ndugu zangu mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nina mke na mtoto mmoja, naombeni msaada wa kutatua haya maradhi yafuatayo kwa historia fupi hpo chini.

Mwaka 2017 nilipata maradhi ya tumbo, niliugua sana! Hospitali vipimo majibu yalikuja sina maradhi yte kuanzia kansa, vidonda vya tumbo na mengine. Kwa sku zote hzo niliendelea kutumia dawa za maumivu! Hatimaye nikapoa kabisa. Baada ya miezi mitano mbele niliugua tena tumbo kwa maumivu mara mbili ya awali, awamu hii majibu yalitoka nikiwa na henia ya kitovu kwa matokeo ya kipenyo kidogo sana. Wiki mbili mbele nikafanyiwa upasuaji mdogo wa kukifunga tena kitovu! Namshukuru mungu nilipona kabisa na skuumwa tena tumbo.

Mwaka 2018 nikaanza kusumbuliwa na tonsils kwa kipindi cha miezi mitano! Ikafikia kiasi cha kushindwa kula! Hvyo nayo nikafikia hkohko kwenye upasuaji wa tonsils! Cha kushangaza tatizo la tumbo bado linakuja mara kwa mara na matokeo sina maradhi ya tumbo, na bdo napata sana shida kooni.

Msaada jamani yyte nayejua tiba, ushauri
Wewe hauna tonsils-Una acid reflux.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom