mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Hatari sn mkuusi ndio hapo, wanawake hawatumi kabisa. Alafu kila siku tunashauriwa humu tuache kwenda kavu hatusikii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sn mkuusi ndio hapo, wanawake hawatumi kabisa. Alafu kila siku tunashauriwa humu tuache kwenda kavu hatusikii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umelazimishwa kisoma huu uzi wake au kucomments?Hapa ndy hospital?
Basi ameze hizi comments asindikize na.maji atapona.
Dah,,yaani unaona fahari kabisa kuona nyeti za mwanaume mwenzio.Kwani umelazimishwa kisoma huu uzi wako au comments?
So irrational. Nani kakwambia naona fahari? Nimekwambia nina ugua kama huyo mleta uzi?Dah,,yaani unaona fahari kabisa kuona nyeti za mwanaume mwenzio.
Tuma na yako ya nyuma basi kunogesha Uzi.
Nimeshangazwa pia, hii sio JF ninayoijua mimi ..Halafu huwa najiuliza hivi wanawake hawaumwi sehem za siri?
Mbona hawajawahi kutuma humu?
Kila siku ni wimbi la wanaume kutuma ngogwe zao humu.
Halafu kuna madume yana suport kabisa .
Aibu nimeona mm
Khaaa!!
Na hii sio mara ya kwanza,, cha ajabu wakiumwa na kinyama cha kwenye makalio picha hawatumi.Nimeshangazwa pia, hii sio JF ninayoijua mimi ..
Hiyo ni sehemu gani ya siri?Msaada wakuu vinawasha kinomaaaaa na nikijikuna sana vinatoa maji na vinachubuka sio poa ndugu zanguni msaada nn solutions
View attachment 1878923
Juzi unaijuwa wewe? Au unaongea sababu ya kuona raha ya kupakatwa.So irrational. Nani kakwambia naona fahari? Nimekwambia nina ugua kama huyo mleta uzi?
Nyie mmejiunga juzi tu mnajifanya wajuzi hamjui humu watu wametibiwa magonjwa na wakapona na kuna madokta tunajua wako humu wameacha kupost sababu ya viccoment vyenu vya kitoto?
Heshimu maoni ya watu. Kama huna msaada unaoweza kumpa unaweza kupotezea tu. Siyo unaleta hisia zako juu ya nn apost na nn asipost
Hii comment yako inaprove nilichoandika. You seems to very insecure.....Happy to know your mental health!Juzi unaijuwa wewe? Au unaongea sababu ya kuona raha ya kupakatwa.
Ukiumwa na magonjwa ya siri muone daktari.
Kama umejiunga jf zamani ndy uwe pimbi kiasi hicho?
Mi mpaka nimeshangaaaàKuna wanaume wameshangaa maumbile ya jamaa ni madogo, sijajua ubongo wao umepimishia tundu lipi? Anyways pole mkuu kwa hitilafu za kimaumbile, watakupa tiba madaktari humu.
Why scaboma? Tupe faida ya hiyo dawa na hilo tatizo alilonalo nini shida?Katumie dawa inaitwa Scaboma , inauzwa around elfu 8- 12 inategemea na duka, uje kusema asante apa apa
Wewe ndiyo maana mwanamke wako hataki kushiriki na wewe ngono (upo uzi wako humu ukimlalamikia kwa hilo) cha kufanya wahi matibabu na yeye pia akatibiwe muwe salama na mfunge ndoa muache kuzini zinaa siyo nzuri ni chukizo na inafukuza baraka.
Ilikua imesnyaa hiyoBinafsi sizani kama ni vizur kuongelea sana size ya maumbile ya muhusika, hatujui umri wake hatujui picha alipiga muda gani nk. Tumpe ushauri mengine hayatuhusu
Mkuu umepata suluhu ya tatizo lako? Mana na mimi nimepata tatizo kama lako sema mim na mwili unawasha sana, tena sehemu ya uume ndiyo inawasha zaidi, yaani najikuna hatari. Nimetumia dawa ya aleji (NEOLOR), Erythrokant pamoja na Cream ya Elocom. Lakin bado nawashwa sana. Jamani mwenye ujuzi naomben msaada wenuMsaada wakuu vinawasha kinoma na nikijikuna sana vinatoa maji na vinachubuka sio poa ndugu zanguni msaada nn solutions
Hii yako isije ikawa Ni reaction ya kitu ulichokula yaani kitu ambacho una allergy nacho.Mkuu umepata suluhu ya tatizo lako? Mana na mimi nimepata tatizo kama lako sema mim na mwili unawasha sana, tena sehemu ya uume ndiyo inawasha zaidi, yaani najikuna hatari. Nimetumia dawa ya aleji (NEOLOR), Erythrokant pamoja na Cream ya Elocom. Lakin bado nawashwa sana. Jamani mwenye ujuzi naomben msaada wenu
Mkuu kweli ni scabies, dawa yako ya vitunguu swaumu imeondoa mwasho wote na sasa naweza kulala, kesho ntaitafuta scaboma kama ulivyoshauri. Jf safi sanaSijapenda watu walivoleta matani kwenye jukwaa muhimu kama hili,. Sijajua ndugu zangu mmekuzwa malezi gani...