beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 822
- 1,133
Nimepata somo shida itaisha kabisa now sasa napaka deto nikioga inanisaidia kidogo but ntaanza matibabu niliyojifunza leo kesho mkuu niombee nipone nikukaribishe nyumbanUnastahili unachougua
Nimepata somo shida itaisha kabisa now sasa napaka deto nikioga inanisaidia kidogo but ntaanza matibabu niliyojifunza leo kesho mkuu niombee nipone nikukaribishe nyumbanUnastahili unachougua
Kama huwez usipake we kunywa tu... ila unaweza ukapaka then ukanawa pale uvumilivu ukikushinda... jitahid na usafi...Hii ipoje mkuu nilitaka kujaribu
Karabu Sana. Tumia hiyo. zipo Aina 7.Asante mkuuu ntakuja na mrejesho
Nikuombee naumwa?Nimepata somo shida itaisha kabisa now sasa napaka deto nikioga inanisaidia kidogo but ntaanza matibabu niliyojifunza leo kesho mkuu niombee nipone nikukaribishe nyumban
Asante mkuuKama huwez usipake we kunywa tu... ila unaweza ukapaka then ukanawa pale uvumilivu ukikushinda... jitahid na usafi...
Tatizo langu ni hilo tuu kwingine msafiiiNikuombee naumwa?.
unikaribishe nani kakwambia mi na uchafu tunapatana?
Mama alipokufunza usafi uliona anachezaTatizo langu ni hilo tuu kwingine msafiii
Drum, ngoma.Drum..ndio kipimo gani?
We jamaaDrum, ngoma.
MmhhhChukua vitunguu swaum menya punje sita kisha twanga.. alafu changanya kweny maji ya lita moja afu kunywa.. twice per day.. pia kams utaweza kuvumia paka ivo vitunguu ulivyotwanga kweny effected area.. one week unipe mrejesho
Kasema kitunguu swaum anywe Sio ajipake.Oh no! Kitunguu swaum upake kwenye pumbu erosion, i see humpendi huyo unayemshauri! Mwambie ajirekodu video akigusa tu na kitunguu swaum chake kilichopondwa kwenye pumb!
acha kumkatisha tamaa, ibume vipi, hizo dawa kwa fangus Ni nzuriNo way, hiyo itabuma mkuu!
Mwambie afuatilie uzi wa 'ifahamu pumbu erosion'!
NDUGU ACHA KUPIGA NYETO KWA MATE..! 😟Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
Yaani hiiiiiíiiiiiiiiii 😂😂😜!Hii ipoje mkuu nilitaka kujaribu
Yaani hiiiiiíiiiiiiiiii 😂😂😜!Hii ipoje mkuu nilitaka kujaribu
I see siyo kwa pumb erosion! kanunuacha kumkatisha tamaa, ibume vipi, hizo dawa kwa fangus Ni nzuri
Kanunue athletic foot powder pharmacy! Ila upunguze na uchafu ndugu kah!Yan kila siku na nunua tubes za kupaka nisipopaka hata kujiangalia naogopa
Dettol acha utarudi unalia dogo!Nimepata somo shida itaisha kabisa now sasa napaka deto nikioga inanisaidia kidogo but ntaanza matibabu niliyojifunza leo kesho mkuu niombee nipone nikukaribishe nyumban
Fuatilia uzi wa: "pumbu erosion" kuna tiba isiyo na shaka!Kasema kitunguu swaum anywe Sio ajipake.
Alovera ndio ajipake.
Ngoja nikujibu once and for all:Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.