Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,326
Basi we fala Sana, utakuwa na jini fangusNishafanya hii kitu amna majibu yoyote
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Basi we fala Sana, utakuwa na jini fangusNishafanya hii kitu amna majibu yoyote
Bila shaka wewe ni mdau wa boarding school, mwamba anasumbuliwa na kitu tuliita pumbu erossionI can advice,
Jaribu dawa ya meno Whitedent Herbal. Ile ya kijani. Paka twice per day mpaka upne tatizo linapungua.
NB: kabla ya kupaka oga kwanza na ukauke.
I wish you quick recovery
Infection ya Fungus inatakiwa kuwa confirmed na KOH cultureWakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
Scabies hiiWakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
Mkuu hili tatizo ni la wengi sana,naomba ni pm na mm tafdhariMleta mada ingia pm yako nimekuelekwza dawa na jinsi ya kutumia
Nenda pm mkuu nimesha kusabahi hukoMkuu hili tatizo ni la wengi sana,naomba ni pm na mm tafdhari
Hiki kipimo ni tofauti na Blood Clotting? Make mm niliwahi kupima hiki cha kuotesha wadudu kwenye damu. Majibu baada ya wiki. Ila majibu yalionesha negative. Japo fangas nilikuwa nazo.Infection ya Fungus inatakiwa kuwa confirmed na KOH culture
You have Lichen Sclerosus
Tumia
Clobetsaol ointment apply twice in vaseline
Predinisone 10mg once for 2 weeks
Cetrizine 10mg once daily
Isotretinoin cream once daily
Unakuta wanashare mataulo, na kuvaliana boxer. Hapo lazima hilo gonjwa walilambe wote.Tafuta dawa za fungus za kumeza, mara nyingi wenye kuzifahamu vizuri hizi ni dermatologists. Hakikisha na mwenza wako anatibiwa na ikiwezekana acheni sex kipindi cha matibabu.
Jikaushe vizuri baada ya kuoga na taulo ulianike juani. Ikiwezekana ukipona nunua mataulo na boxers mpya.
Acha makelele, kanunue hiyo dozi. Halafu fungus wako wanasababishwa na tabia yako ipi?
weka picha basiDelete
Kwanza tuanze na nguo zako za ndani.....uwe unazianika nje juani....usitumie nguo za ndani miaka 2 au 3....jitahid kila baada ya miez 6 unanunua mpya........ wakati unatibu fungus mpenz wako nae anatakiwa azitibu pia.......dawa za asili ninazojua chukua machuma nguo osha vzuri chemsha yakipoa chuja uwe unajitawazia asubui, mchana, jion...... nyingine muda unataka kulala uwe unachukua maji unaweka kwenye beseni unayalaza nje usiku mzima bila kufunika.....asubui ukiamka unajitawazia....... Kingine mchaimchai unachemsha vzuri unachuja unakunywa asubui, mchana, jion.......jitahid sana kabla ya kutumia choo kiwe Safi na kujikausha vzuri sana baada ya kujisafisha..... kubadilisha nguo za ndani mara kwa mara.........kunywa maji mengi ....na kumaliza dose za hospital ....... tofauti na hvo utapona fungus kabisaDelete
Haahaha kuna dawa nyingine zinachekesha sana.Dogo dawa ya fungus iwe kwenye miguu au katikati huko ikulu ni rahisi sana.
Nunua hizi perfume cheap za kichina Kama BOSS au GALAXY . Oga jifute vya kutosha, ingia chumbani kwako funga mlango, vua nguo zote halafu pulizia sehemu zote hata huyo Mnikulu hapo ikulu na hivyo viroba, pulizia kabisa. Panua miguu ili sehemu husika ikauke bila kugusana. Tulia muda wa nusu saa.
Thank me before you put on your boxer.
shuklan san mkuu mwenyez mungu akupe kila hel idawa imeniponesha kabisa fangasi🙏🙏🙏🙏
Mkuu pole kwa hayo maradhi yako kama hujapona nitafute ili nipate kukutibia amradhi yako upate kupona.Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wa kawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
ulitumia fluconazole ile ya drip? Tafuta dose ya fluconazole ile ya kuchoma kwenye mishipa. Alafu kuwa msafi boxer zako zote za zamani Choma zote nunia mpyaWakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wa kawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.