johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Zitto huwa namwamini kwa kiasi kikubwa kutokana na tafiti zake, chambuzi zake na namna anavyowasilisha mada na maono yake.. Zitto amezungumzia ripoti ya IMF lakini bado sijaona uchambuzi wake.
Nina imani CCM itamkabidhi mikoba Daktari wa Uchumi Mwigullu Nchemba aweze kulifahamisha taifa namna Uchumi wetu unavyoenenda.
Uchumi ni mambo ya kitaalamu zaidi si kila mtu anaweza kuchambua......pale CCM kwa hakika simuoni wa kumzidi Dr Mwigullu kwa sasa.
Pale Chadema simuoni yeyote.......labda kwa mbali yule Prof Lipumba wa Cuf kwa niaba ya UKAWA.
Maendeleo hayana vyama!
Nina imani CCM itamkabidhi mikoba Daktari wa Uchumi Mwigullu Nchemba aweze kulifahamisha taifa namna Uchumi wetu unavyoenenda.
Uchumi ni mambo ya kitaalamu zaidi si kila mtu anaweza kuchambua......pale CCM kwa hakika simuoni wa kumzidi Dr Mwigullu kwa sasa.
Pale Chadema simuoni yeyote.......labda kwa mbali yule Prof Lipumba wa Cuf kwa niaba ya UKAWA.
Maendeleo hayana vyama!