Nasikiliza mahubili ya Mchungaji Katunzi muda huu hapa Upendo Radio kipindi ambacho kilirekodiwa siku ya ibada juzi.
Anasema Magufuli aritoa sadaka Corona ikatoweka kwahiyo atasimama na Magufuli hata kwenye uchaguzi guu maana hakuna MTU muzuri kama Magu.
Hii ni sehemu tu ya alichokiongea ila aliendelea kuwaponda na Maaskofu wariofunga makanisa msimu wa Corona.
Kwa kuzingati ujumbe wa juzi wa kamati ya Amani kuhusu watumishi kuhubiri siasa makanisani nashauri huyu naye akemewe kama mlivymkemea na kumtusi Mwingira.
Sikiliza kuanzia dakika 45
Anasema Magufuli aritoa sadaka Corona ikatoweka kwahiyo atasimama na Magufuli hata kwenye uchaguzi guu maana hakuna MTU muzuri kama Magu.
Hii ni sehemu tu ya alichokiongea ila aliendelea kuwaponda na Maaskofu wariofunga makanisa msimu wa Corona.
Kwa kuzingati ujumbe wa juzi wa kamati ya Amani kuhusu watumishi kuhubiri siasa makanisani nashauri huyu naye akemewe kama mlivymkemea na kumtusi Mwingira.
Sikiliza kuanzia dakika 45