Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 146
nilipata kusikia kati ya wa2 masharo baro wa magomeni na kinondoni huyu jamaa alikuwapo miaka hiyo ya 90's ila kwa kweli mi sijui huyu jamaa sifa yake ilikuwa ni nini hasa,kwa wanaomjua tunaomba mtujulishe mambo ya miaka hiyo na
sifa zake zilizomfanya asifike.Halafu swali jingine hivi huyu na khadija mwanamboka ni baba moja mama moja?? mana majina yana fanana.
Halafu tuamieni jamani vitu vilivyoifanya kinondoni iitwe college enzi hizo ni zipi??
sifa zake zilizomfanya asifike.Halafu swali jingine hivi huyu na khadija mwanamboka ni baba moja mama moja?? mana majina yana fanana.
Halafu tuamieni jamani vitu vilivyoifanya kinondoni iitwe college enzi hizo ni zipi??