shiteterande
Member
- May 31, 2013
- 15
- 2
Imefahamika hali ya Nassari si nzuri kunauwezekano akaenda KCMC. tafadhali kama kunamtu anaweza kutujuza zaidi kuhusu hili.
Mhe. Joshua Nassari leo amefanyiwa CT - Scan kutokana na kipigo alicho kipata kutoka kwa Green Guard(CCM) mbele ya jeshi la polisi, alipokuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi mdogo kata ya Makuyuni wilayani Monduli..
View attachment 98056Mhe. Joshua Nassari akiwa Hospitali ya selian - 17/06/2013View attachment 98059