Habari kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa:
Timu hii ya Zitto inaongozwa na Jakaya Kikwete,ikimjumuisha Januari Makama nk, na mfadhiri mkuu wa mradi huu mzima wenye thamani ya Bilioni Moja ni Yufu Manji!
We ulitaka Nasari akubali tu kila linalozushwa kuhusu yeye!!...na ukaonge na utoto ..eti kalazimishwa kukanusha!! kwa
ujinga wenu huu hamtafanikiwa!
2.....Ndugu yangu kwa umri wako huu na elimu yako hii ya kuja kusoma na kuandika....
Unakosea sana kusema maneno kama hayo ya kuwa wewe ni mshabiki mpenzi wa Zitto!!
Kwenye siasa hamana kitu kama hicho!! Nyie ndio mlikuwa mashabiki wa JK sasa hivi mnalia/tunali!!
Uraisi hatubahatishi....hata kama mtu anapenda sana kuwa raisi na wewe unamshabikia kama mpenzi wako...lakini lazima
tujiulize mara mbilimbili anaweza????
Nikiwa kama mwandishi wa habari, nimewahi kuandika humu ndani tabia chafu za mbunge Zitto Kabwe. Zitto anajiandikia habari, analazimisha ichapishwe bila kufanyiwa uhariri.
Katika watu watakaoliingiza hili taifa katika hatari, ZITTO ni mmoja wao. Anafika kuwahonga waandishi ili waandike habari zake na ziwekwe ukurasa wa mbele. Uongozi haulazimishwi, uongozi ni kazo watu wanapewa na wapiga kura. Jipangeni kuhusu Zitto. Kazi nzuri Nassari, CMM- Inamsadia zitto kwenye hizi propaganda za kuvuruga CHADEMA
Mkuu JF sio sehemu ya porojo mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele.
Mbona Halima Mdee ajasema kitu, huyu Dogo Nassari ndio zake kukataa maneno yake leo hii ukamwambia vipi taifa la Kaskazini limeishia wapi atakuambia hajawahi kusema.
OGOPA SANA MTU ANAYEONEKANA KUPENDA SANA MADARAKA. MTU WA NAMNA HIYO, AKIYAPATA MADARAKA HATAPENDA KUTOKA NA WALA HATAWEZA KUFANYA LOLOTE LA KUWASAIDIA WANANCHI ZAIDI YA KUJENGA MFUMO WA KUMKALISHA MADARAKANI KWA GHARAMA YEYOTE ILE.
Zitto ni mwiba sana,kumtimua inahitaji timing na mkimwacha pia inahitaji timing kufanya naye kaziHabari kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa:
Timu hii ya Zitto inaongozwa na Jakaya Kikwete,ikimjumuisha Januari Makama nk, na mfadhiri mkuu wa mradi huu mzima wenye thamani ya Bilioni Moja ni Yusufu Manji!
Lengo ni kuibomoa Chadema na kuwazuia Lowasa, Sita na Membe wasigombee kupitia ccm badala yake Januari aje kuwa ndie mgombe halisi wa ccm!
Inaelezwa kuwa mwenyeti wa ccm yupo tayari kuona ccm inakufa lakini si kuona Lowasa anagombe au mwingine zaidi ya huyo J.Makamba, japo kwa sasa amewaweka kwenye orodha vijana watatu na mama wa UN (1) Januari (2) Emanuel Nchimbi (3) Hussein Mwinyi na Migiro
Sasa tusubiri tuone, lakini inaelezwa kuwa ktk mpango huu Zitto atafanya kila vurugu ndani ya chadema ilimradi tu afukuzwe na kwakuanza tu amesha jitangaza kuwa anajitoa kugombe uongozi wa ngazi yoyote ndani ya chadema, hii ni tiketi nzuri kuelekea mafanikio ya mpango huo!
Wadadisi hawa wanazidi kujuza kuwa kwa sasa Zito ndie mwanasiasa Tajiri zaidi akiwa na uwezo wa kufanya chocho na mahali popote ikiwemo kuwa nunua wanahabari na vyombo vyao.
Wajasusi wa ndani ya ccm wenye nia njema na taifa hili wanazidi kujuza kuwa mwaka 2013 ndio utakuwa na mtikisiko zaidi wa kisiasa hasa ikiwa chadema hawatajiandaa kwa yajayo juu ya mwanachama wao ndugu Zitto!
Lakini hayo ndio ya siasa za Tz ngoja tusubiri tuone mapicha ya ukweli toka studio za Tz!
Hakika kama wewe ni mwandishi wa habari basi una matatizo hasa namna unavyoonesha upendeleo,pia unavyosema Zitto anajiandikia mwenyewe habari bila shaka ndiyo unaonesha udhaifu wako huenda kuna siku ulilazimishwa kuandika habari yake na kama ulikubali basi huitumii vizuri taaluma yako.Katika hoja hii umewadharaulisha waandishi wenzako huenda kwa makusudi au kutojua nini unachosema
Wewe ulikuwepo Kigoma? ... Unajua aliyoyasema Nasari? Mbona hakusema aliyoyasema Kigoma?Mkuu, wewe ni M-TZ au ni mtu wa taifa gani hata usijue kwamba kuhongwa ili kuandika habari kwa maslahi ya mhusika fulani ni kitu cha kawaida TZ?
Uanapochangia hoja uwe mkweli, usiwe mnafiki,
Mkuu Wakurogwa, let me be frank, acha kabisa unafiki.
ukichunguza utaona hivi sasa Mwananchi mvuto wake unaanza kupungua.
Ila mmhhh! Zimepita siku tano ndio leo Mwananchi waandike, tena kama lead news! Something fishy here! Tutasikia mengi kuelekea 2015.
Bado Mwananchi ni gazeti langu pendwa, ila msinikatishe tamaa kwa manyuzi yenye utata kama hii ya leo.
Mbunge wa Arumeru leo ni mara yako ya pili kuikana taarifa yako, ulishawahi kuikana taarifa ya kuitenga nchi na kuanzisha taifa la Kaskazini, pia ukasema Vijana mtatembea kwenda Ikulu...
Leo umelazimishwa kumkataa ZITTO kwa kushinikizwa? kuna siku utajasema Rais umtakaye ni kutoka hukohuko Kaskazini.
Mimi binafsi ni shabiki wa ZITTO kwa vitendo 100% hata mkimchukia kwa Kabila lake au Dini na hukatazwi kumshabikia yoyote kwenye nchi hii bila kujali chama
Hii habari imeenea sana ktk vijiwe vya bongo sijui kama kuna ukweli wowote lakini kama kuna ukweli wowote basi namsikitikia sana Zitto maana kaingizwa mkenge walokuwa wakiutaka toka mwaka 2005. Lakini wakati huo huo sidhani kama Zitto ni mjinga kiasi hicho, pengine ana mahesabu yake kwa sababu chaguo la JK hawezi kupita uchaguzi wa mwaka 2015.Habari kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa:
Timu hii ya Zitto inaongozwa na Jakaya Kikwete,ikimjumuisha Januari Makama nk, na mfadhiri mkuu wa mradi huu mzima wenye thamani ya Bilioni Moja ni Yusufu Manji!
Lengo ni kuibomoa Chadema na kuwazuia Lowasa, Sita na Membe wasigombee kupitia ccm badala yake Januari aje kuwa ndie mgombe halisi wa ccm!
Inaelezwa kuwa mwenyeti wa ccm yupo tayari kuona ccm inakufa lakini si kuona Lowasa anagombe au mwingine zaidi ya huyo J.Makamba, japo kwa sasa amewaweka kwenye orodha vijana watatu na mama wa UN (1) Januari (2) Emanuel Nchimbi (3) Hussein Mwinyi na Migiro
Sasa tusubiri tuone, lakini inaelezwa kuwa ktk mpango huu Zitto atafanya kila vurugu ndani ya chadema ilimradi tu afukuzwe na kwakuanza tu amesha jitangaza kuwa anajitoa kugombe uongozi wa ngazi yoyote ndani ya chadema, hii ni tiketi nzuri kuelekea mafanikio ya mpango huo!
Wadadisi hawa wanazidi kujuza kuwa kwa sasa Zito ndie mwanasiasa Tajiri zaidi akiwa na uwezo wa kufanya chocho na mahali popote ikiwemo kuwa nunua wanahabari na vyombo vyao.
Wajasusi wa ndani ya ccm wenye nia njema na taifa hili wanazidi kujuza kuwa mwaka 2013 ndio utakuwa na mtikisiko zaidi wa kisiasa hasa ikiwa chadema hawatajiandaa kwa yajayo juu ya mwanachama wao ndugu Zitto!
Lakini hayo ndio ya siasa za Tz ngoja tusubiri tuone mapicha ya ukweli toka studio za Tz!
Nikiwa kama mwandishi wa habari, nimewahi kuandika humu ndani tabia chafu za mbunge Zitto Kabwe. Zitto anajiandikia habari, analazimisha ichapishwe bila kufanyiwa uhariri.
Katika watu watakaoliingiza hili taifa katika hatari, ZITTO ni mmoja wao. Anafika kuwahonga waandishi ili waandike habari zake na ziwekwe ukurasa wa mbele. Uongozi haulazimishwi, uongozi ni kazo watu wanapewa na wapiga kura. Jipangeni kuhusu Zitto.
Kazi nzuri Nassari, CMM- Inamsadia zitto kwenye hizi propaganda za kuvuruga CHADEMA