Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Mbunge Joshua Nasari na Kangi Lugora wakitoa shukurani zake kanisani.
Gladness Mushi wa Full shwangwe -Arusha
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Bw Joshua Nassari leo amefanikiwa kutoa sadaka ya shukurani katika kanisa la FPCT Kilinga wilayani meru mara baada ya kuchaguliwa kama mbunge wa jimbo hilo
Akiongea na Mamia ya wananchi wa jimbo hilo katika kanisa hilo Bw Nassari alisema kuwa ameamua kutoa sadaka maalumu ya kushukuru mungu mara baada ya kumaliza vema uchaguzi huku wapiga kura wake wote wakiwa salama tofauti na pale ambapo wengi waliadhimia
hata ivyo aliwataka viongozi wa vyama vingine kuhakikisha kuwa wanakuwa mstari wa mbele kutetea maslahui ny6a wananchi na kuachananna tofauti za kivyama ambazo kama zitaendelezwa basi zitachangia kwa kiwango kikubwa sana umaskini wa Meru
Akiongea katika kanisa hilo kwa ajili ya ibada hiyo mchungaji Langaeli Kahaya naye alisema kuwa wananchi wanapswa kuhakikisha kuwa kamwe hawamchagui kiongozi yoyote kwa ajili ya maslahi ya Rushwa kwa kuwa wote wanaotoa rushwa ndio wanaosababisha hata umaskini na umwagaji damu ndani ya nchi
Kutokana na hali hiyo alisema kuwa ni mwiko kwa wananchi wma Jimbo la Arumeru Mashariki kujihusisha na Rushwa kwa vipindi vyote vya uchaguzi kwa kuwa mpaka sasa Rushwa imeshaacha madhara makubwa sana ndani ya jimbo hilo na pia Rushwa ni dhambi kubwa sana.
hata ivyo aliwataka viongozi wa vyama vingine kuhakikisha kuwa wanakuwa mstari wa mbele kutetea maslahui ny6a wananchi na kuachananna tofauti za kivyama ambazo kama zitaendelezwa basi zitachangia kwa kiwango kikubwa sana umaskini wa Meru
Akiongea katika kanisa hilo kwa ajili ya ibada hiyo mchungaji Langaeli Kahaya naye alisema kuwa wananchi wanapswa kuhakikisha kuwa kamwe hawamchagui kiongozi yoyote kwa ajili ya maslahi ya Rushwa kwa kuwa wote wanaotoa rushwa ndio wanaosababisha hata umaskini na umwagaji damu ndani ya nchi
Kutokana na hali hiyo alisema kuwa ni mwiko kwa wananchi wma Jimbo la Arumeru Mashariki kujihusisha na Rushwa kwa vipindi vyote vya uchaguzi kwa kuwa mpaka sasa Rushwa imeshaacha madhara makubwa sana ndani ya jimbo hilo na pia Rushwa ni dhambi kubwa sana.