Medical Dictionary
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,060
- 309
Waambie Nsero wa chenyi.
Uningwe mbora kamanda
eka nsuri..
Waambie Nsero wa chenyi.
Uningwe mbora kamanda
Kun mbunge mmoja nadhani ni wa upinzani huyu anaponda kuwa wizara ya maji ivunjwe kwa kuwa imeshindwa kuleta maji.
Huyo ni mbunge ni wa Namanyere, hajaoga kwa siku tatu alipokuwa Namanyere akasema yeye ni mwanamke je mwanamke itakuwaje. Ni Ally Kessy kwa kweli amenifurahisha sana.
Godwinnko,mkuu watanzania walio wengi wanaishi vijijini..wanatumia mudamwingi kwenda kutafuta maji na hii ni kwarika zote vijana,wamama,watoto,na wazee..hawa walitakiwa muda mwingi watumie katika shughuli za kilimo,na watoto wanatakiwa kuwa shule badala ya kuwaste the whole day kutafuta maji..by the way maji ni afya pia..you should think twice mkuu..
SIO Dar tu hata Arusha mjini tunataabika na foleni ya magari tunahitaji flyovers.Habari jamvini,
Naamini sitakuwa kuwa nje ya mada,kwani ukiondoa asilimia 60 ya magari binafsi yanayozunguka dar,ukawa na madaladala route zote Mara ya zilizopo sasa.msongamano utaendelea?
Lakini pia tujadili njia mbadala ya kuondoa msongamano wa magari dar.
tatizo la viongozi wetu ni kwamba wanafikiria mwisho Dar es salaam...utaongelea flyover lakini ipact yake ni kwa watu wachache sana(sio kwamba nasema flyovers ni mbaya).
ila imekuwa ni kawaida ya wanasiasa..unakuta ni mbunge wa huko mbali lakini analalamika kuwa Dar mifereji haifanyi kazi mvua zikinyesha....
Waziri wa ardhi ni nadra kumsikia mikoani ama wilayani..ila kila siku utamsikia anahangaika na viwanja na maeneo ya wazi ya Dar.
Kun mbunge mmoja nadhani ni wa upinzani huyu anaponda kuwa wizara ya maji ivunjwe kwa kuwa imeshindwa kuleta maji.
Huyo ni mbunge ni wa Namanyere, hajaoga kwa siku tatu alipokuwa Namanyere akasema yeye ni mwanamke je mwanamke itakuwaje. Ni Ally Kessy kwa kweli amenifurahisha sana.
tatizo la viongozi wetu ni kwamba wanafikiria mwisho Dar es salaam...utaongelea flyover lakini ipact yake ni kwa watu wachache sana(sio kwamba nasema flyovers ni mbaya).
ila imekuwa ni kawaida ya wanasiasa..unakuta ni mbunge wa huko mbali lakini analalamika kuwa Dar mifereji haifanyi kazi mvua zikinyesha....
Waziri wa ardhi ni nadra kumsikia mikoani ama wilayani..ila kila siku utamsikia anahangaika na viwanja na maeneo ya wazi ya Dar.
tatizo la viongozi wetu ni kwamba wanafikiria mwisho Dar es salaam...utaongelea flyover lakini ipact yake ni kwa watu wachache sana(sio kwamba nasema flyovers ni mbaya).
ila imekuwa ni kawaida ya wanasiasa..unakuta ni mbunge wa huko mbali lakini analalamika kuwa Dar mifereji haifanyi kazi mvua zikinyesha....
Waziri wa ardhi ni nadra kumsikia mikoani ama wilayani..ila kila siku utamsikia anahangaika na viwanja na maeneo ya wazi ya Dar.
tanira1 Sio barabara za kifahari, dhumuni ni kupunguza msongamano ili tuwahi kazini tuweze kushughulikia maji, imagine mtu una drive 21 km for three hours (tegeta to masaki) kila siku X2 means 6 hours back and forth... think.
hakuna suala la kujadili hapa,
Kaka maji yashughulikiwe mwaka 2012 tangia CCM iko madarakani miaka 51 leo ?
Godwinnko,
ninachosema hapa ni kuwa tuko nyuma sana, hili suala la maji lilitakiwa kuwa limeshatatuliwa siku nyingi sana, haingii akilini watanzania kulalama kwa kuokosa maji leo, juzi nimesoma uji mmoja humu kuhusu gharama za kuchimba kisima, it was never more than 5m. tatizo letu kubwa zaidi ni ujinga kuliko hata ufisadi (hasa kwa viongozi wetu) sasa fikiria mtu anaiba mahela mengi kiasi kwamba hujui atayatumia lini, ni ujinga wa kufikiri tu, hata kama anataka kuiba ili watoto wake waje wayatumie in maana yuko tayari kufanya kizazi chake kiwe kama konokono, hakuna haja ya kufikiri tena, hakuna haja ya kufanya kazi tena; baba alishaiba katutengea, kazi ni kula tu, mimi nisingependa kuwa na watoto wa aina hiyo, ningependa kuwa na watoto ambao wangetumikisha akili yao ku exprole the universe, ili ikiwezekana siku moja na sisi tugundue angalau kitu kimoja basi tuwauzie wenzetu. vigogo wa leo wako tayari kuwanunulia watoto wao mitihani, wako tayari kuwapa watoto wao kazi bila qualifications tena wanawatafutia sehemu zenye mshahara au (ulaji) mnono kama BOT TRA nk. nk.
Tanzania kamwe haiwezi kuendelea kwa mtindo huu.... naona uvivu ku type maana hakuna jipya nitakalosema hapa yote mnayajua...
I HAVE THOUGHT THRICE...
Nimeipenda hii ingawaimenitia uchungu ulivyomention viwanda vya mkoani Moro. Hivi wanaweza kusema vimekufaje? Tulikuwa na kiwanda cha mazulia kilosa wakati km huu wa maonyesho walikuwa wanatuletea macarpet, table mats nk leo hii ni 0000. CCM imeua na kuuza kila kitu nadhani wataanza kuunza binadamu km bado hawajaanza. Tusimame pamoja jamani rushwa imezidi maskini au upinzani wanaumia ccm wso wanatajifika. Ninahasira hapa nilipo. Wanafunzi hawana mikopo hela zipo uswiss, madaltari wanaongea hakuna wakuwasikiliza.Ndugu zangu mseme mnavyosema nchii hii (mrema anasemaga nji hii............) tusitegemee jipya toka kwa hawa watu wanaoitwa chama tawala aka... Chama cha majambazi.... Nasema hakuna jipya hapa leo tuna miaka 51 ya uhuru nini maji bwana, madawati tu kwa shule zetu za msingi tu ni mtihani mkubwa ambao hata jk hajui aanzeje kuutatua vp .kwa shule za msingi mpaka leo watoto tena mjini tu wanakaa nchini... Tembeleeni shule za mjini....tu acheni vijijini... Harafu wakina zomba, na wakina rejao wanaitetea hii serikali... Zile pesa tu za epa zingetengeza madawati mangapi..... Zile za dip green, za meremeta.... Wale waliouza twiga.... Wetu wangefirisiwa tungepata shi ngapi hapo??? Madini yetu leo tanzanite haisikiki tena.... Na ni tz pekeyakee ulimwengu mzima yenye hayo madini.... Akharaaaaa mpaka hasira wandugu... Harafu manasema tuna serikali... Kweli miaka 50 hata malaria tu imetushinda.... Hivi niwaulize wakina katiba mpya... Na majebere na wengineo kama mpaka mwaka 1990 tulikuwa na viwanda vya kuongeza thamani ya mazao yetu mbalimbal; kama pamba na kadhalika... Vinda vya nguo takribani 45... Acha viwanda vinginevyo leo pita morogoro hapo vyooote*(polyster,..... Kanivasi.. Moroshoe, moproko... Magunia... Ceramic...) vyoote vimekufa... Na vilikuwa vinatoa ajira kwa zaidi ya wakazi 30,0000 wa mkoa wa morogoro... Leo ni magofu tu wahindi wamefanya.... Kama walivyo fanya reli... Ndio maana mpaka leo najiuliza hivi hawa wanaoishabikia hiii serikali ni watz kweli..... Miaka hamsini hata net za mbu tuombe msaaada kwa bush kweli????? Ndugu zangu,....... Hakuna jipya... Narudia tusitarajie jipya toka kwa jk... Na wenzie wa ccm.. Woote ni wakunyonga tu... Watu wanakufa kwa kukosa hata mlo mmoja tu kwa siku.. Wao wakobize na kurundika madola uswis na kuwaibia watanzana.... Adui no 1. Wa umaskini wa watz ni hiii serikali ya ccm kataaa ukubali.... Ovaa