jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Kuitisha harambee ndio kutimiza ahadi? Kila siku JK na Lowassa wanaitisha harambee kwa hiyo wanatimiza ahadi.
Sioi anaweza hata kuitisha kaharambee ka kuchangia kununua unga wa uji wa watoto wa chekechea?
dhubuutu!!!! atajitokeza yeye pekee, manake hata mkewe atakuwa na udhuru, atakuwa kwa babake.