Nasinzia nikiwa nimekaa kwenye kiti

Tumbo kujaa gesi
Moyo kwenda mbio

Je,Umepima vidonda vya tumbo
Je unakunywa pombe

Moyo kwenda mbio Umepima presha
Una umri gani
Ke au me
Tuanze hapo kwanza
 
Habari wapendwa katika bwana,
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja
Tatizo langu ni tumbo kujaa hewa na kupelekea moyo kwenda kasi na wakati mwingine pumzi inabana hasa baada ya kula , yaani tumbo linajaa hewa na inanibidi nikae tu nikisema nilale hewa huja kifuani na kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi au hata pumzi kubana, ili kupata nafuu inanilazimu nikae tu nikisema nilale hali inakuwa tete, nilipoenda hospital walinipima kupimo cha ECG na CXR(chest x-ray) lakini hawakubaini tatizo kwenye moyo, hivi karibuni nilipima kipimo cha utra sound madakitari walibaini uwepo wa hewa nyingi tumboni, hivyo nilipewa vidonge aina ya OMEPRAZOLE NA ERYTHMYCIN Lakini mpaka sasa tatizo liko vilevile, wakuu na wapendwa wangu naomba msaada wenu, hakika nateseka sana ndugu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuangalia hormone ya thyrod...yenye kusabibisha kuvimba tezi shingoni
 
Tumbo kujaa gesi
Moyo kwenda mbio

Je,Umepima vidonda vya tumbo
Je unakunywa pombe

Moyo kwenda mbio Umepima presha
Una umri gani
Ke au me
Tuanze hapo kwanza
Nshapima presha mkuu, sina, ila madonda tumbo sijapma
 
Habari wapendwa katika bwana,
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja
Tatizo langu ni tumbo kujaa hewa na kupelekea moyo kwenda kasi na wakati mwingine pumzi inabana hasa baada ya kula , yaani tumbo linajaa hewa na inanibidi nikae tu nikisema nilale hewa huja kifuani na kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi au hata pumzi kubana, ili kupata nafuu inanilazimu nikae tu nikisema nilale hali inakuwa tete, nilipoenda hospital walinipima kupimo cha ECG na CXR(chest x-ray) lakini hawakubaini tatizo kwenye moyo, hivi karibuni nilipima kipimo cha utra sound madakitari walibaini uwepo wa hewa nyingi tumboni, hivyo nilipewa vidonge aina ya OMEPRAZOLE NA ERYTHMYCIN Lakini mpaka sasa tatizo liko vilevile, wakuu na wapendwa wangu naomba msaada wenu, hakika nateseka sana ndugu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.
 
Pole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.
Asante Mkuu, vidonge vya fefol vinauzwa pia maduka ya dawa?
 
Pole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.
Mkuu nimeulizia vidonge vya fefol lakini sijavipata hebu nielekeze jina jingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom