digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,873
- 14,300
- Thread starter
- #21
Jaribu kuangalia hormone ya thyrod...yenye kusabibisha kuvimba tezi shingoniHabari wapendwa katika bwana,
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja
Tatizo langu ni tumbo kujaa hewa na kupelekea moyo kwenda kasi na wakati mwingine pumzi inabana hasa baada ya kula , yaani tumbo linajaa hewa na inanibidi nikae tu nikisema nilale hewa huja kifuani na kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi au hata pumzi kubana, ili kupata nafuu inanilazimu nikae tu nikisema nilale hali inakuwa tete, nilipoenda hospital walinipima kupimo cha ECG na CXR(chest x-ray) lakini hawakubaini tatizo kwenye moyo, hivi karibuni nilipima kipimo cha utra sound madakitari walibaini uwepo wa hewa nyingi tumboni, hivyo nilipewa vidonge aina ya OMEPRAZOLE NA ERYTHMYCIN Lakini mpaka sasa tatizo liko vilevile, wakuu na wapendwa wangu naomba msaada wenu, hakika nateseka sana ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshapima presha mkuu, sina, ila madonda tumbo sijapmaTumbo kujaa gesi
Moyo kwenda mbio
Je,Umepima vidonda vya tumbo
Je unakunywa pombe
Moyo kwenda mbio Umepima presha
Una umri gani
Ke au me
Tuanze hapo kwanza
Mcheka kovu , asiyefikwa na jeraha, mungu anakuonaAnza kukaa kwenye moto !hutasinzia tena
Pole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.Habari wapendwa katika bwana,
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja
Tatizo langu ni tumbo kujaa hewa na kupelekea moyo kwenda kasi na wakati mwingine pumzi inabana hasa baada ya kula , yaani tumbo linajaa hewa na inanibidi nikae tu nikisema nilale hewa huja kifuani na kupelekea mapigo ya moyo kwenda kasi au hata pumzi kubana, ili kupata nafuu inanilazimu nikae tu nikisema nilale hali inakuwa tete, nilipoenda hospital walinipima kupimo cha ECG na CXR(chest x-ray) lakini hawakubaini tatizo kwenye moyo, hivi karibuni nilipima kipimo cha utra sound madakitari walibaini uwepo wa hewa nyingi tumboni, hivyo nilipewa vidonge aina ya OMEPRAZOLE NA ERYTHMYCIN Lakini mpaka sasa tatizo liko vilevile, wakuu na wapendwa wangu naomba msaada wenu, hakika nateseka sana ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu, vidonge vya fefol vinauzwa pia maduka ya dawa?Pole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.
Ndio Mkuu, so unajua tena mambo ya time savingHuwa una tabia ya kutafuna harakaharaka?
Ndiyo mkuu... Ukienda utavipata... Pia usisahau kutumia Vitamin B complex... Vidonge vyote hivi ni muhimu sana kwa hali yako ya sasa...Asante Mkuu, vidonge vya fefol vinauzwa pia maduka ya dawa?
Ubarikiwe Mkuu, ntaenda kuvichukua nkenda mjiniNdiyo mkuu... Ukienda utavipata... Pia usisahau kutumia Vitamin B complex... Vidonge vyote hivi ni muhimu sana kwa hali yako ya sasa...
Kutafuna haraka ni moja ya sababu kubwa inayosababisha tumbo kujaa gesi,sijui ni kwanini ila nadhani kuna wataalamu humu wanaweza kufafanua.Ndio Mkuu, so unajua tena mambo ya time saving
Sawa mkuuPima sukari mkuu
Nakunywa sana tu Mkuu .mungu pekee aingilie katipole sana....jaribu kunywa maji mengi
Mkuu nimeulizia vidonge vya fefol lakini sijavipata hebu nielekeze jina jinginePole sana mkuu. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na upungufu wa haemoglobin/ red blood cells kwenye damu yako kitu kinachopelekea usafirishaji wa hewa kwenye mwili wako kuwa hafifu. Cha kufanya, anza matumizi ya vidonge vya kuongeza damu aina ya FEFOL, Pia tumia vidonge vya kuongeza Vitamin B complex mwilini mwako... Na kama unachoka kunywa angalau Azam engery au Mo energy moja kwa siku hasa nyakati za mchana.
Muulize mama yeyote mjamzito atakusaidia namna ya kuvipata.. Au nenda duka kubwa la madawa.Mkuu nimeulizia vidonge vya fefol lakini sijavipata hebu nielekeze jina jingine
Asante Mkuu,Muulize mama yeyote mjamzito atakusaidia namna ya kuvipata.. Au nenda duka kubwa la madawa.