Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kwa hili la uasi ndani ya CHADEMA nasimama na Mbowe,kuna kikundi ndani ya CHADEMA kimepanga na kimeshaota mizizi kikiwa na lengo la kukupoka uenyekiti wa Chama. Hoja kuu ya kikundi hiki ni "elimu" na "uchungu wa matumizi ya fedha za ruzuku".
Mbowe shtuka! Kwani hata "majasusi" wako akina "mkulima wa bamia" na "Meya wa stendi kuu ya mabasi ya mikoani" wameungana na kikundi hicho bila wao kutambua.
Vita uliyonayo unahitaji msaada kutoka nje kwani "umaviwa na panya wenye njaa" tulia kwanza uone utatokaje kwani wenzio wamejipanga wakapangika.
Kundi hili limesheheni wabunge na viongozi waandamizi mikoa na majimbo sasa usikurupuke.Unatakiwa ufanye yafuatayo ili kuwamaliza nguvu;
1.Kuelekea uchanguzi Mkuu ndani ya chama "wafyeke" ili wasikusumbue wakati wa kupiga kura na kupitisha maazimio kwenye mikutano.
2.Pandikiza mtu wako "mpya" sio hao niliokwambia hapo juu kwenye makundi sogozi ya wabunge na viongozi ili afuatilie mijadala na yao na kukutonya kinachotokea
3.Makundi hayo pia yameanza kuleta mijadala dhidi yako humu JF
4.Ikibidi omba msaada wa vyombo vya dola kama ulivyoomba mwaka 2013 ili kumdhibiti Zitto.
5.Usipuuze mambo madogo kamanda
Nawasilisha
Kwa hili la uasi ndani ya CHADEMA nasimama na Mbowe,kuna kikundi ndani ya CHADEMA kimepanga na kimeshaota mizizi kikiwa na lengo la kukupoka uenyekiti wa Chama. Hoja kuu ya kikundi hiki ni "elimu" na "uchungu wa matumizi ya fedha za ruzuku".
Mbowe shtuka! Kwani hata "majasusi" wako akina "mkulima wa bamia" na "Meya wa stendi kuu ya mabasi ya mikoani" wameungana na kikundi hicho bila wao kutambua.
Vita uliyonayo unahitaji msaada kutoka nje kwani "umaviwa na panya wenye njaa" tulia kwanza uone utatokaje kwani wenzio wamejipanga wakapangika.
Kundi hili limesheheni wabunge na viongozi waandamizi mikoa na majimbo sasa usikurupuke.Unatakiwa ufanye yafuatayo ili kuwamaliza nguvu;
1.Kuelekea uchanguzi Mkuu ndani ya chama "wafyeke" ili wasikusumbue wakati wa kupiga kura na kupitisha maazimio kwenye mikutano.
2.Pandikiza mtu wako "mpya" sio hao niliokwambia hapo juu kwenye makundi sogozi ya wabunge na viongozi ili afuatilie mijadala na yao na kukutonya kinachotokea
3.Makundi hayo pia yameanza kuleta mijadala dhidi yako humu JF
4.Ikibidi omba msaada wa vyombo vya dola kama ulivyoomba mwaka 2013 ili kumdhibiti Zitto.
5.Usipuuze mambo madogo kamanda
Nawasilisha