Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Kuna hali naiona miaka ya karibu na na siipendi kwakweli.
- wengi wa wahitimu wa elimu ya juu hawajui hata kuandika wasifu(CV) wao, achilia mbali kudanganya wasifu wao.
- Wakufunzi nao wamegeuka wajasiriamali na hawana ari tena ya kutengeneza vizazi vya wasomi walioelimika bali waliohitimu..
-Waajiri wengi, hasa wa kizalendo wanaajir kwa makaratasi... hwachukui juhudi ya ziada kumchunguza msailiwa, wanaishia kusoma CV na kuuliza maswali walioandikiwa.
- Wanafunzi wengi wa elimu ya juu wamekuwa wazembe, hata undergraduate thesis/projects zao wanafanyiwa ... utadhani wale wazee wa ma-ofisini amabao hulipa watu hela ili wawafanyie kazi zao..!!
- na mengine mengi tu, kifupi, USANII MWINGI SANA siku hizi .
Athari zake kubwa ni kukosa ajira zenye ushindani hasa katika mashirka ya kimataifa na kuboronga kazi hiko vibaruani.
TUJIREKEBISHENI.... MHiTIMU WA DIPLOMA/DIGRIII HALAFU BADO MBUMBUMBU NA MZEMBE.... NI AIBU....!!!!
nawakilisha:A S angry::A S angry:
- wengi wa wahitimu wa elimu ya juu hawajui hata kuandika wasifu(CV) wao, achilia mbali kudanganya wasifu wao.
- Wakufunzi nao wamegeuka wajasiriamali na hawana ari tena ya kutengeneza vizazi vya wasomi walioelimika bali waliohitimu..
-Waajiri wengi, hasa wa kizalendo wanaajir kwa makaratasi... hwachukui juhudi ya ziada kumchunguza msailiwa, wanaishia kusoma CV na kuuliza maswali walioandikiwa.
- Wanafunzi wengi wa elimu ya juu wamekuwa wazembe, hata undergraduate thesis/projects zao wanafanyiwa ... utadhani wale wazee wa ma-ofisini amabao hulipa watu hela ili wawafanyie kazi zao..!!
- na mengine mengi tu, kifupi, USANII MWINGI SANA siku hizi .
Athari zake kubwa ni kukosa ajira zenye ushindani hasa katika mashirka ya kimataifa na kuboronga kazi hiko vibaruani.
TUJIREKEBISHENI.... MHiTIMU WA DIPLOMA/DIGRIII HALAFU BADO MBUMBUMBU NA MZEMBE.... NI AIBU....!!!!
nawakilisha:A S angry::A S angry: