Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Baada ya kusoma jamaa anajivunia jimbo linaloongozwa na Upinzani, nimeona nije na watu wanaotoka majibu yanayotia aibu na karaha. Kama na wewe ni kama mie, hebu tujiorodhehe hapa Majimbo ya kutia aibu.
Yes, natoka Sikonge, jimbo lilaloongozwa na CCM kwa miaka 50. Mbunge wetu ni Said Nkumba aka Hitler.
Yes, natoka Sikonge, jimbo lilaloongozwa na CCM kwa miaka 50. Mbunge wetu ni Said Nkumba aka Hitler.