mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
Hivi jamani kwa nini kusiwe na king'amuzi standard kinachoshika local channels zote , hata kama mnahamia digitally ndio mnaendesha mambo kibabe hivyo....kwa hiyo kila television iwe na king'amuzi chake hii ni biashara ya CC......au ni utendaji mbovu wa hawa TCRA??????:A S 13: