Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,919
- 14,800
- Thread starter
- #21
Kwanini hauna? πππSubuuutu!
Kwanini hauna? πππSubuuutu!
Umenipima? Una risiti?
Embu tutengeneze ushahidi mimi na weweβ¦.Wapi wewe!
Honga Tu uisome namba πππ
Nyoooo sema mmefuliaPamoja na majibu yako mazuri ndugu mjumbe ningependa kukazia hapo kidogo kwa mtoa mada kwamba kwa idadi yao ilivyo tukisema tuache kabisa dunia itakua sio salama watasumbua kwa nyege..hata enzi za kina Suleiman hakua mjinga..kwahyo tumepunguza tu idadi.
Labda awe anagharimia mikutano yetu!!!Kwanini hauna? πππ
Achana na mimi hutoniwezaEmbu tutengeneze ushahidi mimi na weweβ¦.
HahahahahLabda awe anagharimia mikutano yetu!!!
Ahahahahahahaahaahaa wa kutangaza TYPE nawapendaga sana wallahAchana na mimi hutoniweza
Nenda YouTube kaniangalie uone kama me type yako ππππ
CCM OYEEE π€Έ
WalaaaShemela unachepushwa wallah⦠si kwa kuongea kwa uhakika hukoo.
Hiili ni jibu la wote⦠hasa tukikamatwa..
WamekusikiaAhahahahahahaahaahaa wa kutangaza TYPE nawapendaga sana wallah
Tunaongelea Michepuko best sio kikokotooo πππUnafanyakazi kwenye hii Nchi kupata haki yako au halali yako inakuwa Mbinde
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siwezi kukamatwa maana siibiHiili ni jibu la wote⦠hasa tukikamatwa..
Hoyeeee!Hahahahah
CCM OYEEE ππππ
Shemela unapenda majibu ya wote weweeβ¦.. !!
Ikusaidie nini gharama yangu labda?Kwani wewe gharama yako shng ngapi!!!tuanzie hapo kwanza