DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,433
Jamani ukiachana na ibada mpira nao unaweza kuwa kwenye rank ya kukusanya kundi kubwa la watu wenye mitazamo tofauti.
Mpira raha sana hasa pale unaposikia timu usioipenda imefungwa. Mimi ni shabiki wa liverpool... kwangu man U na Real madrid wakifungwa hua najisikia faraja sana
Wewe je unashabikia timu gani? Na timu gani hupendi ipate matokeo mazuri?
View attachment 1683800View attachment 1683801View attachment 1683802
Mpira raha sana hasa pale unaposikia timu usioipenda imefungwa. Mimi ni shabiki wa liverpool... kwangu man U na Real madrid wakifungwa hua najisikia faraja sana
Wewe je unashabikia timu gani? Na timu gani hupendi ipate matokeo mazuri?
View attachment 1683800View attachment 1683801View attachment 1683802