Jikaze kaka nawe utakua kama Mo usijidharau!Tunaambiwa kuwa wabongo kwa sasa tumeshafungua viwanda zaidi ya 4000.
Hii ni hatua kubwa sana kimaendeleo pia nasikia na hiki kiwanda nacho kipo kwenye hiyo idadi. View attachment 1180742
na wewe utakuwa kama Baba keaganJikaze kaka nawe utakua kama Mo usijidharau!
Aiseeeeeeee