Tetesi: Nasikia na hawa walikuwa miongoni mwa wale 52, waliokuwa wamwasili Simiyu

bukoba04

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
1,401
1,287
habar wana JF

kuna habari zinasikika kuwa mkuu wa mkoa wa dsm, Bwana Paulo Makonda, tayr alikuwa kaishafika simiyu kabla mkuu wa nchi ajatangaza kurudi kwenye vituo na kurudisha posho...

nasikia aliamuru plate namba ya gar ibadilishwei kutoka RAC DSM kwenda DFP na kugeuka usiku wa manane, ili kukwepa aibu kwa wana dasalama na viongozi wenzake

pia wale wanauslama wa barabarani wanaolinda zile barriers, kwa upande wa barabara kuu za mikoa ya kaskazini, walishuhudia pia ujio wa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Mrisho Gambo, akirud na yy nyakati za usku wa manane kuogopa fedheha akiwa ameambatana na viongoz wengen wawili ambao hawakuweza kufahamika kwa haraka...

najaribu kujiuliza kama ni kweli, mbona hawa watu wamekuwa wakijipambanua wazi wazi mbele ya kamera na majukwaan kuwa wanamsaidia mheshimiwa rais kubana matumizi, wakat wao tayar walikuwa washakunja posho na kuzitia kibindoni au ndio kuganga njaa kwao huko?

kweli nimeamini sio kila anayekupigia makofi anakushangilia ase...

kama kuna tetesi za viongoz wengne waliojialika na kujilipa posho, wakakutana na panga la mtukufu endelea kuwaorodhesha, ili wapate kufahamika kwa mtukufu
 
Kwani wao ni diamond platz au ali kiba?


Hivi hawa viongozi wamekula mahara..... wapi?

Jitu linajihisi kama superstar wakati ni national political leader!

Tena wa kuteuliwa kwa u.....!!

Anyway

Ina Maana mkuu huwa hachukui hata ushauri pembeni?

Maana hawa jamaa walitakiwa wawe wamejua movie ile itaishaje.


Au ndo urafiki wa sungura na .....!


USIKURUPUKE kunielewa vibaya!!
 
Kama walikuwa na nia ya dhati ya hilo tukio wangerejesha posho na kuendelea kushiriki hizo shughuli badala ya kurejea walikotoka, kaxi ipo watu bado wanavimelea vya ku survive kwa posho
 
Mi siwalaumu sana wakuu haww na wengine walioalikwa.Nadhani agizo la mkuu lilichelewa kidogo.ingependeza hata kuanzia sasa angepiga marufuku mambo yote yanayoonekana kuwa na matumizi mabaya kuanzia mbio zamwenge,sherehe flan flan n.k. Watu watajua mapema na hivyo mammbo kama haya hayatatokea kamwe
 
Eti Dfp watu mna vituko Sana. kwa safari ya bariadi Kuna possibility ya wengi walirudia njiani kuanzia shy tinde nzega igunga shelui sgd manyoni dodoma.
 
Mi siwalaumu sana wakuu haww na wengine walioalikwa.Nadhani agizo la mkuu lilichelewa kidogo.ingependeza hata kuanzia sasa angepiga marufuku mambo yote yanayoonekana kuwa na matumizi mabaya kuanzia mbio zamwenge,sherehe flan flan n.k. Watu watajua mapema na hivyo mammbo kama haya hayatatokea kamwe
Mbio za mwenge ni noooma,utakuta mchango wa kila halmashauri kwenye Mwenge ni mil.10.
Kila mfanyakazi katika hamashauri anachangia 2000,
Mkuu wa idara 10000 au 15000,l
VEOS walete either 80000 au zaidi au pungufu ya hapo hii inategemea mratibu wa Mwenge amepanga vipi.
Vyama wa siasa 50000 au juu ya hapo,kuna wakulima wakubwa km wapo au wafanya biashara wakubwa 200000 hii inategemea na halmashauri wamepanga vipi,nk nk
Bajeti ya mwenge inategemea pia na halmashauri wengine mil.30,wengine 35,wengine 40 kwa kuzindua miradi isiyo na kichwa wala miguu plus uongo uongo mwingii
Sijui kwa wakimbiza mwenge kitaifa wanalipwaje au wa Mkoa na halmashauri
Ushauri Mwenge akawashwe makumbusho na kuzimwa makumbusho hizo hela zingeweza kufanya mambo mengine ya maendeleo km JPM na kauli ya kubana matumizi hapa ingekaa vizuri kuliko kutumbuliwa kwa siku moja khaaa!!
 
habar wana JF

kuna habari zinasikika kuwa mkuu wa mkoa wa dsm, Bwana Paulo Makonda, tayr alikuwa kaishafika simiyu kabla mkuu wa nchi ajatangaza kurudi kwenye vituo na kurudisha posho...

nasikia aliamuru plate namba ya gar ibadilishwei kutoka RAC DSM kwenda DFP na kugeuka usiku wa manane, ili kukwepa aibu kwa wana dasalama na viongozi wenzake

pia wale wanauslama wa barabarani wanaolinda zile barriers, kwa upande wa barabara kuu za mikoa ya kaskazini, walishuhudia pia ujio wa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Mrisho Gambo, akirud na yy nyakati za usku wa manane kuogopa fedheha akiwa ameambatana na viongoz wengen wawili ambao hawakuweza kufahamika kwa haraka...

najaribu kujiuliza kama ni kweli, mbona hawa watu wamekuwa wakijipambanua wazi wazi mbele ya kamera na majukwaan kuwa wanamsaidia mheshimiwa rais kubana matumizi, wakat wao tayar walikuwa washakunja posho na kuzitia kibindoni au ndio kuganga njaa kwao huko?

kweli nimeamini sio kila anayekupigia makofi anakushangilia ase...

kama kuna tetesi za viongoz wengne waliojialika na kujilipa posho, wakakutana na panga la mtukufu endelea kuwaorodhesha, ili wapate kufahamika kwa mtukufu


Uchochezi tu huo! Gambo amerudisha posho 1.3m mubashara aka LIVE!!
 
Makonda wa GSM na Gambo ni macho kwenye fedha ukizubaa umepigwa wana njaa ya mafanikio..
 
Makonda wa GSM na Gambo ni macho kwenye fedha ukizubaa umepigwa wana njaa ya mafanikio..
tetes ni kuwa alishatafuna robo tatu ya posho, na kuirejesha alikopa kwa watu wa GSM, kulinda kibarua na agizo la mkuu
 
Hao uliowataja wamerithi roho ya sherehe na shughuli kutoka kwa Baba wa Bwaga mioyo so sioni ajabu kuwasili mapema.But huyu mami aliwatoa watu kwenye mood.
 
Back
Top Bottom