007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 478
Hivi katangaza na vyombo kuuzwa nusu bei???
Kazi na dawa..
Pombe na nyama,
Utani na story..
Kazi na dawa..
Pombe na nyama,
Utani na story..
Ee Mungu tupe hekima katika haya yote maana peke yetu hatuwezi Baba.!!!View attachment 1454529
Muda ni msema kweli, mda ukifika mshindi atafahamika tu kati ya corona na hao wanaoandaa party.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha, hii ni serious kabisa, watanzania mnafanya hivi ?
Kuna mipango kabambe inaandaliwa ya kufanya beach party kubwa sana ya kushangilia ushindi dhidi ya Corona jumapili, na kuna tetesi Diamond platnumz akaongoza shamra shamra hizo, hii imekaaje?
Ee Mungu tupe hekima katika haya yote maana peke yetu hatuwezi Baba.!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mlivyoambiwa msali siku tatu mlieleww vipi?Ee Mungu tupe hekima katika haya yote maana peke yetu hatuwezi Baba.!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusisahau kuvaa barakoa
Hatuwezi kuishi kwa kutegemea matambara puani-Mkulu.Tusisahau kuvaa barakoa
Hahah tunaishukuru awamu ya 5, maana tumeweza kua wa kwanza dunia nzima kumshinda adui Covid.Hahahaha, hii ni serious kabisa, watanzania mnafanya hivi ?
!Tanzania tulikosega wapi sisi ??
Mambo gani Haya ??
Kwa Mambo gani hasaaa yaliyofanywa kuidhibiti Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tulikosega wapi sisi ??
Mambo gani Haya ??
Kwa Mambo gani hasaaa yaliyofanywa kuidhibiti Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Jesus is Lord!Kwa yeyote aliyemwomba Mungu (kama mimi) wakati ule kama mkuu wa nchi alivyoelekeza,atakuwa anaelewa ni nini maana ya kumshukuru Mungu.
TUNAOMBA KWA IMANI NA TUNAPOKEA MAJIBU YA MAOMBI YETU KWA IMANI PIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itakuwa Breaking News!Hahah tunaishukuru awamu ya 5, maana tumeweza kua wa kwanza dunia nzima kumshinda adui Covid.
Barakoa marufuku!Mbona wanaharaka sana waanze kufungua mashule na kila kitu kirudi normal halafu ndio kusherehekea.
sasa tunashereheke vipi huku tumevaa barakoa?