Inasemekana kuwa tanzania haina nafasi za ajira za kutosha za kuwaajiri wasomi wote wanaohitimu vyuo vikuu, ila cha kushangaza nilisoma baadhi ya thread humu, kuna watu wali-comment kuwa walikosa kazi baada ya ku-graduate chuo, ila baada ya wao kwenda kwa waganga na kuogea madawa waliopewa na waganga, baada ya mda mfupi sana walipata kazi ya kuajiriwa yenye mshahara mzuri..waganga waliwaambia hao watu kuwa walifungwa kichawi ili wasipate kazi, sasa sielewi ina maana wote waliokosa kazi miaka mingi baada ya kumaliza chuo wamelogwa?
Tufundishane dalili za kufungwa kichawi usipate riziki kwenye biashara yako /au usipate kazi ya kuajiriwa..na kama kuna watu waliokutana na hivi visanga m-share experience zenu humu
Tufundishane dalili za kufungwa kichawi usipate riziki kwenye biashara yako /au usipate kazi ya kuajiriwa..na kama kuna watu waliokutana na hivi visanga m-share experience zenu humu