Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 761
- 2,033
Ya marashi ni ipiUna chagua unayo taka kuna za marashi pia
Jina please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya marashi ni ipiUna chagua unayo taka kuna za marashi pia
Hiyo ya chocolate ndo yenyeweshower gel nzuri zenye harufu ya matunda, vanilla au chocolate. utapenda ukitoka bafuni full kunukia vizuri. ukienda supermarket au maduka ya urembo/cosmetics ndo utapata za aina mbali mbali.
angalizo: kuna wafanyabiashara nahisi si waaminifu wanaongezea maji kidogo kwenye zile zenye chupa za kufunguka kirahisi. utakuta shower gel aina moja ukienda kununua sehemu A ni nzito na ujazo sawa halafu sehem B ni nyepesi imejaa mpaka juu usawa wa mfuniko na mapovu yanaelea.
3000 au 30,000?Ile yenye kopo la kijani T.sh 3000/= kijitonyama, opposite na Shell ya Barrel.
3000/=3000 au 30,000?
Bado unaitumia?Wakuu nilikuwa nasumbuliwa na mba kichwani ila toka nimeanza kutumia hizi sabuni ya maji umeisha na ngozi imekuwa soft hadi nafurahia
hiyo ya chocolate ndo yenyewe
Utakuwa upo soft balaayeah nzuri sana, naponunua mara nyingi naikosa inaonesha inapendwa sana.
Msaada jina la hio sabuni na bei zake kama hutojaliyeah nzuri sana, naponunua mara nyingi naikosa inaonesha inapendwa sana.
Sisi wa Kwamtogole tusio na tub/sink la kuogea, unachukua face towel, dodoki au sponge ya kuonwa. Unaiweka maji kidogo, unaweka sabuni ya maji unafikicha Iris povu ambalo unatumia kujisafishia mwili mzima.
Sisi tunaokwenda bafuni na ndoo zetu za maji tena unayachota kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa.
Msaada jina la hio sabuni na bei zake kama hutojali
Hapo ndugu umnifurahisha sana> Ushomile Ulaya au Marekani?Nadhani unamaanisha shower gel,
namna ya kuitumia ni vile utakavyopenda wewe kuendana na mazingira ya bafu lako
kama una tub/sink la kuogea utajaza maji utaweka showergel na kufikicha ili upate povu...utaingia uoge kadri utakavyo ukimaliza utajisuza na maji masafi
kama una shower utalowanisha sponge ya kuogea na kufikicha upate povu then unaoga na mwisho unajisuuza na maji safi
kama una ndoo hivyo hivyo ama waweza iweka kwenye ndoo ukaoga ukasuuza ama ukaiacha pia
binafsi siwezi ogea sabuni ya kipande kabisaa ni shower gel tuu
Haha hamna Mkuu nshomile Kayumba tuu lolHapo ndugu umnifurahisha sana> Ushomile Ulaya au Marekani?
Mwanaume unalilia kuwa soft kuna walakini
Nadhani unamaanisha shower gel,
namna ya kuitumia ni vile utakavyopenda wewe kuendana na mazingira ya bafu lako
kama una tub/sink la kuogea utajaza maji utaweka showergel na kufikicha ili upate povu...utaingia uoge kadri utakavyo ukimaliza utajisuza na maji masafi
kama una shower utalowanisha sponge ya kuogea na kufikicha upate povu then unaoga na mwisho unajisuuza na maji safi
kama una ndoo hivyo hivyo ama waweza iweka kwenye ndoo ukaoga ukasuuza ama ukaiacha pia
binafsi siwezi ogea sabuni ya kipande kabisaa ni shower gel tuu
Gharama yake ipoje na kimatumizi huwa inaweza kudumu kwa muda gani kwa mtu mmoja?Kuna mambo ukiyajua unajiuliza kimoyo moyo "nilikuaga wapi mimi"
Tumia shower gel hutokaa urudi kwenye vipande milele nakwambia