Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi

Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Bei gan inauzwa iyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aina gani ni nzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeenda dukani ungejua zaidi,hizi vitu siwezi kukwambia n nzuri ipi

maana ngozi yanguu na yako zipo tofauti kabisa,halafu kuna swala la harufu

naweza kukwambia hii nzuri halafu harufu yae ikakuchefua huko bafuni

hapa muhimu angalia wewe ngozi yako aina ipi na unahitaji aina ipi usije

nunua tu kisa watu wanasema nzuri,utakuja ogea kitu ikukatae ujutie maisha.
 
Ungeenda dukani ungejua zaidi,hizi vitu siwezi kukwambia n nzuri ipi

maana ngozi yanguu na yako zipo tofauti kabisa,halafu kuna swala la harufu

naweza kukwambia hii nzuri halafu harufu yae ikakuchefua huko bafuni

hapa muhimu angalia wewe ngozi yako aina ipi na unahitaji aina ipi usije

nunua tu kisa watu wanasema nzuri,utakuja ogea kitu ikukatae ujutie maisha.
kwani zina recommendation ya aina ya ngozi ya mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya south Africa
20200530_181952.jpg
 
Back
Top Bottom