Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,329
Kama kichwa cha habari kilivyo na baadhi ya nyuzi zangu za nyuma zilizoegemea katka ujasiriamali.
Leo kuna mdau kanitonya kwamba huko nchini msumbiji magongo ya kutengenezea viatu yapo mengi sana kiasi kwamba yanauzwa barabarani kama nyanya( nimetia chumvi).
Nataka kujua kama kuna mdau yoyote yupo huko aje hapa atujuze kama ni kweli au lahh!!! Maana nayatafuta sana kuna mmojna yupo kenya alinambia anauza shilingi 40,000 tsh nkaona hayupo serious na anachokifanya maana bei ni kubwa.
Tusaidiane wakuu niweze kutimiza ndoto yangu ya kufungua kiwanda cha kutengeneza viatu, maana ni idea nliyoianza tangu nikiwa nasoma chuo.
Nawasilisha kwenu. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo kuna mdau kanitonya kwamba huko nchini msumbiji magongo ya kutengenezea viatu yapo mengi sana kiasi kwamba yanauzwa barabarani kama nyanya( nimetia chumvi).
Nataka kujua kama kuna mdau yoyote yupo huko aje hapa atujuze kama ni kweli au lahh!!! Maana nayatafuta sana kuna mmojna yupo kenya alinambia anauza shilingi 40,000 tsh nkaona hayupo serious na anachokifanya maana bei ni kubwa.
Tusaidiane wakuu niweze kutimiza ndoto yangu ya kufungua kiwanda cha kutengeneza viatu, maana ni idea nliyoianza tangu nikiwa nasoma chuo.
Nawasilisha kwenu. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app