Nasikia eti mnazitamani tena BUREAU DE CHANGE mmesahau pigo la APRIL 30,2015?

Tumbiliwaulaya

JF-Expert Member
Nov 22, 2020
280
435


Anguko kubwa la thamani ya sh ya tanzania lilishuhudiwa mwaka 2015 april, ambapo kwa muda wa mwezi mmoja thamani ya shilingi ya Tanzania ilipolomaka toka sh 1650 kwa dola moja hadi sh 2010 kwa dola moja, hili lilikuwa ni anguko la asilimia 21% ndani ya mwezi mmoja.

Hints:
  • Tukio hili lilitokea baada tu ya uchaguzi wa 2015,na hii haikuwa mara ya kwanza ilikuwa imejitokeza hivyo kila baada ya uchaguzi kupita,ila anguko la mwaka 2015 lilikuwa polomoko kubwa kuliko ya miaka iliyopita.
  • Ilikuwa wazi kuwa kila nchi yetu inapokaribia uchaguzi watu walinunua fedha za kigeni kwa wingi na kuzitoroshea nje hivyo kusababisha tatizo la ujazi wa fedha za kigeni nchini.
  • Tofauti na miaka mingine uchaguzi wa mwaka 2015 haukuwa unatabirika na kwa wengi waliziona darili za CCM kuondolewa madarakani, hivyo kuzalisha hofu kwa wenye fedha kwa kuhofia mabadiriko, wengi walihamisha fedha kwenda nje ya nchi.
  • Ili kukabiliana na tatizo hili serikali iliamua kutafuta chanzo cha anguko hili na mengine yaliyotokea nyuma ili kupata ufumbuzi wa kudum.
  • Tatizo la kwanza na la msingi ilikuwa uanzishaji holela wa maduka ya kubadilishia fedha hasa mjini Arusha na Dar es salaam,ambako ndio zilikuwa njia kuu za utoroshaji wa fedha za kigeni.
  • Biashara ya utakatishaji na utoroshaji wa fedha za kigeni ilikuwa ni biashara haramu iliyokuwa inafanywa na genge lililokuwa limejiimalisha ndani na nje ya serikali(mafioso deal) fedha yote iliyopataikana kwa njia za kifisadi,wizi na njia nyingine ambazo sio halari ziliingia kwenye mzunguko ama kutoroshwa kwa kupitia utaratibu huo wa breau de change.
  • Haikuwa rahisi kupata ushahidi wa kutosha pale ambapo BOT ilifanya ukaguzi wa kawaida kwenye maduka haya kwani wahusika walipata taarifa mapema na kuficha nyaraka na vitu ambavyo vingesababisha kugundulika kwa uhalifu wao.
  • Hadi kufia mwaka 2018 ambapo tayari mpolomoko ulikuwa umefikia sh 2350 kwa dora moja ndipo BOT kwa kushirikiana na vyombo vyote vya usalama likiwemo jeshi la wananchi walipovamia kwa pamoja maduka yote kwa wakati mmoja na kupata ushahidi wa kutosha na biashara hiyo ikafungwa na kurejeshwa kwenye mabenki ya biashara,na kubaki na maduka machache yaliyo dhibitiwa kwa uhakika na kanuni imara.
  • Sio kweli kuwa ni wafanya biashara tu wa maduka ya kubadili fedha ndio walifungiwa kufanya biasha hiyopia yapo na mabenki yaliyo fungiwa kufanya biashara hiyo kwa ukiukaji wa kanuni za ubadilishaji fedha.
  • Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank zote zilipigwa marufuku ya kuendesha biashara hiyo Novemba 23 kwa kukiuka sheria za biashara.
  • Wakati msako wa Arusha ukifanyika, thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ilikuwa imeshuka maradufu na kufikia Sh2,300 kwa dola moja. Mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa Julai 2015 na BoT ililazimika kuchukua hatua mahususi kukabiliana na anguko hilo.
  • Tangia hapo fedha yetu iliimalika hadi leo ninapo wakumbusha kuhusu jana yetu,kuna watu walihangaika kutufikisha hapa tulipo ila kuna watu pia wanataka turudie ujinga huo TULAMBE MATAPISHI YETU ILI WAPIGE, TENA WANA KIU KALI.
  • Kila wanapoongelea jambo hili wanaongelea dhuruma iliyo fanywa na serkali kwenye mitaji yao, wana sahau kuwa ilikuwa ni biashara haramu iliyo umiza uchumi wetu vibaya sana,wanataka tuwarejeshee mitaji yao na pia biashara yao ili waanze tena upya kulipora taifa?
  • Kila mtu alisimama kuiomba serikali ichukue hatua madhubuti kumaliza tatizo ambalo lilikuwa dhahiri linaenda kuangamiza taifa hili,kama tungeendelea na trend ile leo hii Zimbabwe angekuwa cha mtoto.
  • Ifike wakati enyi wapiga zumari oneni aibu alie tuokoa bado hata hajaoza, mmekazana kuturudisha Baberi lakini pia teknolojia ipo itakumbusha kila kitu mlichotufanyia.
  • MWENDA ZAKE alifanya makubwa kwa ajili ya taifa lake Mwenyezi Mungu amrehemu.
Naruhusu kutukanwa,kuitwa utopolo ila ukweli ndio huo biashara ya maduka ya Breau de change ndicho yalicho kifanya enzi hizo, kwa hiyo wapiga zumari mkiongea eti serikali iliwadhurumu pia muongelee na hujuma hizi za uchumi.

Biashara ya kubadili fedha za kigeni kudhibitiwa Tanzania - BBC News Swahili
 
Pamoja sikubaliani na mambo mengi sana uliyoandika Ila naunga mkono hoja ya kwamba biashara ya bureau de change iendelee kuzuiwa kwa sababu huko ndipo utakatishani fedha ulikuwa unafanyika kwa kiasi kikubwa pia ilikuwa inazuia banks kupata fedha za kigeni na kuweza kuinvest.

Kimsingi hata ukienda nchi nyingi zilizoendelea hakuna maduka ya kubadili fedha Yani utahangaika sana kama bank zimefungwa na ukienda bank lazima uwe na passport yako uonyeshe kwamba wewe ni mgeni ndio maana unamiliki pesa ya kigeni na unataka kubadili kwa fedha yao.

Suala hili hata ukienda hapo South Africa ni kawaida kabisa tena wao hata dollars hawapokei kwenye huduma za kawaida labda ufanye magendo tu.

Bureau de change pia walikuwa wanapandisha sana thamani ya pesa ya kigeni so unapata vihela kidogo sana ukichenji kwenye pesa ya Madafu.

Bado naona huo ndio utaratibu mzuri kwa dunia ya sasa , kuchenji hela labda baadhi ya hotel ziendelee kubadili tena kwa wageni wanaofikia hoteli. Pamoja ndio kidogo tunaponeaga kama unahitaji pesa weekend au usiku unaenda hoteli unapiga dili wanakukata hela nyingi kwelikweli but kama una shida inabidi ukubali tu.
 


Anguko kubwa la thamani ya sh ya tanzania lilishuhudiwa mwaka 2015 april, ambapo kwa muda wa mwezi mmoja thamani ya shilingi ya Tanzania ilipolomaka toka sh 1650 kwa dola moja hadi sh 2010 kwa dola moja, hili lilikuwa ni anguko la asilimia 21% ndani ya mwezi mmoja.

Hints:
  • Tukio hili lilitokea baada tu ya uchaguzi wa 2015,na hii haikuwa mara ya kwanza ilikuwa imejitokeza hivyo kila baada ya uchaguzi kupita,ila anguko la mwaka 2015 lilikuwa polomoko kubwa kuliko ya miaka iliyopita.
  • Ilikuwa wazi kuwa kila nchi yetu inapokaribia uchaguzi watu walinunua fedha za kigeni kwa wingi na kuzitoroshea nje hivyo kusababisha tatizo la ujazi wa fedha za kigeni nchini.
  • Tofauti na miaka mingine uchaguzi wa mwaka 2015 haukuwa unatabirika na kwa wengi waliziona darili za CCM kuondolewa madarakani, hivyo kuzalisha hofu kwa wenye fedha kwa kuhofia mabadiriko, wengi walihamisha fedha kwenda nje ya nchi.
  • Ili kukabiliana na tatizo hili serikali iliamua kutafuta chanzo cha anguko hili na mengine yaliyotokea nyuma ili kupata ufumbuzi wa kudum.
  • Tatizo la kwanza na la msingi ilikuwa uanzishaji holela wa maduka ya kubadilishia fedha hasa mjini Arusha na Dar es salaam,ambako ndio zilikuwa njia kuu za utoroshaji wa fedha za kigeni.
  • Biashara ya utakatishaji na utoroshaji wa fedha za kigeni ilikuwa ni biashara haramu iliyokuwa inafanywa na genge lililokuwa limejiimalisha ndani na nje ya serikali(mafioso deal) fedha yote iliyopataikana kwa njia za kifisadi,wizi na njia nyingine ambazo sio halari ziliingia kwenye mzunguko ama kutoroshwa kwa kupitia utaratibu huo wa breau de change.
  • Haikuwa rahisi kupata ushahidi wa kutosha pale ambapo BOT ilifanya ukaguzi wa kawaida kwenye maduka haya kwani wahusika walipata taarifa mapema na kuficha nyaraka na vitu ambavyo vingesababisha kugundulika kwa uhalifu wao.
  • Hadi kufia mwaka 2018 ambapo tayari mpolomoko ulikuwa umefikia sh 2350 kwa dora moja ndipo BOT kwa kushirikiana na vyombo vyote vya usalama likiwemo jeshi la wananchi walipovamia kwa pamoja maduka yote kwa wakati mmoja na kupata ushahidi wa kutosha na biashara hiyo ikafungwa na kurejeshwa kwenye mabenki ya biashara,na kubaki na maduka machache yaliyo dhibitiwa kwa uhakika na kanuni imara.
  • Sio kweli kuwa ni wafanya biashara tu wa maduka ya kubadili fedha ndio walifungiwa kufanya biasha hiyopia yapo na mabenki yaliyo fungiwa kufanya biashara hiyo kwa ukiukaji wa kanuni za ubadilishaji fedha.
  • Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank zote zilipigwa marufuku ya kuendesha biashara hiyo Novemba 23 kwa kukiuka sheria za biashara.
  • Wakati msako wa Arusha ukifanyika, thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ilikuwa imeshuka maradufu na kufikia Sh2,300 kwa dola moja. Mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa Julai 2015 na BoT ililazimika kuchukua hatua mahususi kukabiliana na anguko hilo.
  • Tangia hapo fedha yetu iliimalika hadi leo ninapo wakumbusha kuhusu jana yetu,kuna watu walihangaika kutufikisha hapa tulipo ila kuna watu pia wanataka turudie ujinga huo TULAMBE MATAPISHI YETU ILI WAPIGE, TENA WANA KIU KALI.
  • Kila wanapoongelea jambo hili wanaongelea dhuruma iliyo fanywa na serkali kwenye mitaji yao, wana sahau kuwa ilikuwa ni biashara haramu iliyo umiza uchumi wetu vibaya sana,wanataka tuwarejeshee mitaji yao na pia biashara yao ili waanze tena upya kulipora taifa?
  • Kila mtu alisimama kuiomba serikali ichukue hatua madhubuti kumaliza tatizo ambalo lilikuwa dhahiri linaenda kuangamiza taifa hili,kama tungeendelea na trend ile leo hii Zimbabwe angekuwa cha mtoto.
  • Ifike wakati enyi wapiga zumari oneni aibu alie tuokoa bado hata hajaoza, mmekazana kuturudisha Baberi lakini pia teknolojia ipo itakumbusha kila kitu mlichotufanyia.
  • MWENDA ZAKE alifanya makubwa kwa ajili ya taifa lake Mwenyezi Mungu amrehemu.
Naruhusu kutukanwa,kuitwa utopolo ila ukweli ndio huo biashara ya maduka ya Breau de change ndicho yalicho kifanya enzi hizo, kwa hiyo wapiga zumari mkiongea eti serikali iliwadhurumu pia muongelee na hujuma hizi za uchumi.

Biashara ya kubadili fedha za kigeni kudhibitiwa Tanzania - BBC News Swahili


Legasi haitetewi.
 


Anguko kubwa la thamani ya sh ya tanzania lilishuhudiwa mwaka 2015 april, ambapo kwa muda wa mwezi mmoja thamani ya shilingi ya Tanzania ilipolomaka toka sh 1650 kwa dola moja hadi sh 2010 kwa dola moja, hili lilikuwa ni anguko la asilimia 21% ndani ya mwezi mmoja.

Hints:
  • Tukio hili lilitokea baada tu ya uchaguzi wa 2015,na hii haikuwa mara ya kwanza ilikuwa imejitokeza hivyo kila baada ya uchaguzi kupita,ila anguko la mwaka 2015 lilikuwa polomoko kubwa kuliko ya miaka iliyopita.
  • Ilikuwa wazi kuwa kila nchi yetu inapokaribia uchaguzi watu walinunua fedha za kigeni kwa wingi na kuzitoroshea nje hivyo kusababisha tatizo la ujazi wa fedha za kigeni nchini.
  • Tofauti na miaka mingine uchaguzi wa mwaka 2015 haukuwa unatabirika na kwa wengi waliziona darili za CCM kuondolewa madarakani, hivyo kuzalisha hofu kwa wenye fedha kwa kuhofia mabadiriko, wengi walihamisha fedha kwenda nje ya nchi.
  • Ili kukabiliana na tatizo hili serikali iliamua kutafuta chanzo cha anguko hili na mengine yaliyotokea nyuma ili kupata ufumbuzi wa kudum.
  • Tatizo la kwanza na la msingi ilikuwa uanzishaji holela wa maduka ya kubadilishia fedha hasa mjini Arusha na Dar es salaam,ambako ndio zilikuwa njia kuu za utoroshaji wa fedha za kigeni.
  • Biashara ya utakatishaji na utoroshaji wa fedha za kigeni ilikuwa ni biashara haramu iliyokuwa inafanywa na genge lililokuwa limejiimalisha ndani na nje ya serikali(mafioso deal) fedha yote iliyopataikana kwa njia za kifisadi,wizi na njia nyingine ambazo sio halari ziliingia kwenye mzunguko ama kutoroshwa kwa kupitia utaratibu huo wa breau de change.
  • Haikuwa rahisi kupata ushahidi wa kutosha pale ambapo BOT ilifanya ukaguzi wa kawaida kwenye maduka haya kwani wahusika walipata taarifa mapema na kuficha nyaraka na vitu ambavyo vingesababisha kugundulika kwa uhalifu wao.
  • Hadi kufia mwaka 2018 ambapo tayari mpolomoko ulikuwa umefikia sh 2350 kwa dora moja ndipo BOT kwa kushirikiana na vyombo vyote vya usalama likiwemo jeshi la wananchi walipovamia kwa pamoja maduka yote kwa wakati mmoja na kupata ushahidi wa kutosha na biashara hiyo ikafungwa na kurejeshwa kwenye mabenki ya biashara,na kubaki na maduka machache yaliyo dhibitiwa kwa uhakika na kanuni imara.
  • Sio kweli kuwa ni wafanya biashara tu wa maduka ya kubadili fedha ndio walifungiwa kufanya biasha hiyopia yapo na mabenki yaliyo fungiwa kufanya biashara hiyo kwa ukiukaji wa kanuni za ubadilishaji fedha.
  • Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank zote zilipigwa marufuku ya kuendesha biashara hiyo Novemba 23 kwa kukiuka sheria za biashara.
  • Wakati msako wa Arusha ukifanyika, thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ilikuwa imeshuka maradufu na kufikia Sh2,300 kwa dola moja. Mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa Julai 2015 na BoT ililazimika kuchukua hatua mahususi kukabiliana na anguko hilo.
  • Tangia hapo fedha yetu iliimalika hadi leo ninapo wakumbusha kuhusu jana yetu,kuna watu walihangaika kutufikisha hapa tulipo ila kuna watu pia wanataka turudie ujinga huo TULAMBE MATAPISHI YETU ILI WAPIGE, TENA WANA KIU KALI.
  • Kila wanapoongelea jambo hili wanaongelea dhuruma iliyo fanywa na serkali kwenye mitaji yao, wana sahau kuwa ilikuwa ni biashara haramu iliyo umiza uchumi wetu vibaya sana,wanataka tuwarejeshee mitaji yao na pia biashara yao ili waanze tena upya kulipora taifa?
  • Kila mtu alisimama kuiomba serikali ichukue hatua madhubuti kumaliza tatizo ambalo lilikuwa dhahiri linaenda kuangamiza taifa hili,kama tungeendelea na trend ile leo hii Zimbabwe angekuwa cha mtoto.
  • Ifike wakati enyi wapiga zumari oneni aibu alie tuokoa bado hata hajaoza, mmekazana kuturudisha Baberi lakini pia teknolojia ipo itakumbusha kila kitu mlichotufanyia.
  • MWENDA ZAKE alifanya makubwa kwa ajili ya taifa lake Mwenyezi Mungu amrehemu.
Naruhusu kutukanwa,kuitwa utopolo ila ukweli ndio huo biashara ya maduka ya Breau de change ndicho yalicho kifanya enzi hizo, kwa hiyo wapiga zumari mkiongea eti serikali iliwadhurumu pia muongelee na hujuma hizi za uchumi.

Biashara ya kubadili fedha za kigeni kudhibitiwa Tanzania - BBC News Swahili

Hawa hawa unaowatetea ndio hawa hawa waliiba hizo pesa na ndio hawahawa walipitisha huko Byuo di chenji na ndio hao hao wenye pesa na madaraka. Ujitekenya na kujicheka. Hata leo dola moja ni 2314tsh .

Kama huzalishi na kuuza bidhaa nje you will never fight a weakening Shilling valusle against Dollars.
 
Kaka wewe dunia ya 3 UTAKATISHAJI FEDHA UNAKUATHIRI VIPI?.
HAO waliopiga stop bureau de change wameshaendelea tofauti na wewe.
Kila kitu kina faida na CHANGAMOTO zake.ni mapema Sana kufungia bureau de change Kwa nchi masikini za Africa.
Pamoja sikubaliani na mambo mengi sana uliyoandika Ila naunga mkono hoja ya kwamba biashara ya bureau de change iendelee kuzuiwa kwa sababu huko ndipo utakatishani fedha ulikuwa unafanyika kwa kiasi kikubwa pia ilikuwa inazuia banks kupata fedha za kigeni na kuweza kuinvest.

Kimsingi hata ukienda nchi nyingi zilizoendelea hakuna maduka ya kubadili fedha Yani utahangaika sana kama bank zimefungwa na ukienda bank lazima uwe na passport yako uonyeshe kwamba wewe ni mgeni ndio maana unamiliki pesa ya kigeni na unataka kubadili kwa fedha yao.

Suala hili hata ukienda hapo South Africa ni kawaida kabisa tena wao hata dollars hawapokei kwenye huduma za kawaida labda ufanye magendo tu.

Bureau de change pia walikuwa wanapandisha sana thamani ya pesa ya kigeni so unapata vihela kidogo sana ukichenji kwenye pesa ya Madafu.

Bado naona huo ndio utaratibu mzuri kwa dunia ya sasa , kuchenji hela labda baadhi ya hotel ziendelee kubadili tena kwa wageni wanaofikia hoteli. Pamoja ndio kidogo tunaponeaga kama unahitaji pesa weekend au usiku unaenda hoteli unapiga dili wanakukata hela nyingi kwelikweli but kama una shida inabidi ukubali tu.
 
Ni mjinga au mshamba wa kijijini tu ndo atawaza kuzuia utendaji wa bureau de changes
 
na pia lini nao watarudisha pesa walizopata kwa njia ya utakatishaji?
Acheni dhuluma. Rudisheni fedha za watu. Kama mnaamini walitenda kosa kwanini hamkuwapeleka Mahakamani?? Matokeo yake mnawatishia kuwa wakienda Mahakamani kuishitaki/kuidai Serikali basi mnawafungulia kesi ya utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
 


Anguko kubwa la thamani ya sh ya tanzania lilishuhudiwa mwaka 2015 april, ambapo kwa muda wa mwezi mmoja thamani ya shilingi ya Tanzania ilipolomaka toka sh 1650 kwa dola moja hadi sh 2010 kwa dola moja, hili lilikuwa ni anguko la asilimia 21% ndani ya mwezi mmoja.

Hints:
  • Tukio hili lilitokea baada tu ya uchaguzi wa 2015,na hii haikuwa mara ya kwanza ilikuwa imejitokeza hivyo kila baada ya uchaguzi kupita,ila anguko la mwaka 2015 lilikuwa polomoko kubwa kuliko ya miaka iliyopita.
  • Ilikuwa wazi kuwa kila nchi yetu inapokaribia uchaguzi watu walinunua fedha za kigeni kwa wingi na kuzitoroshea nje hivyo kusababisha tatizo la ujazi wa fedha za kigeni nchini.
  • Tofauti na miaka mingine uchaguzi wa mwaka 2015 haukuwa unatabirika na kwa wengi waliziona darili za CCM kuondolewa madarakani, hivyo kuzalisha hofu kwa wenye fedha kwa kuhofia mabadiriko, wengi walihamisha fedha kwenda nje ya nchi.
  • Ili kukabiliana na tatizo hili serikali iliamua kutafuta chanzo cha anguko hili na mengine yaliyotokea nyuma ili kupata ufumbuzi wa kudum.
  • Tatizo la kwanza na la msingi ilikuwa uanzishaji holela wa maduka ya kubadilishia fedha hasa mjini Arusha na Dar es salaam,ambako ndio zilikuwa njia kuu za utoroshaji wa fedha za kigeni.
  • Biashara ya utakatishaji na utoroshaji wa fedha za kigeni ilikuwa ni biashara haramu iliyokuwa inafanywa na genge lililokuwa limejiimalisha ndani na nje ya serikali(mafioso deal) fedha yote iliyopataikana kwa njia za kifisadi,wizi na njia nyingine ambazo sio halari ziliingia kwenye mzunguko ama kutoroshwa kwa kupitia utaratibu huo wa breau de change.
  • Haikuwa rahisi kupata ushahidi wa kutosha pale ambapo BOT ilifanya ukaguzi wa kawaida kwenye maduka haya kwani wahusika walipata taarifa mapema na kuficha nyaraka na vitu ambavyo vingesababisha kugundulika kwa uhalifu wao.
  • Hadi kufia mwaka 2018 ambapo tayari mpolomoko ulikuwa umefikia sh 2350 kwa dora moja ndipo BOT kwa kushirikiana na vyombo vyote vya usalama likiwemo jeshi la wananchi walipovamia kwa pamoja maduka yote kwa wakati mmoja na kupata ushahidi wa kutosha na biashara hiyo ikafungwa na kurejeshwa kwenye mabenki ya biashara,na kubaki na maduka machache yaliyo dhibitiwa kwa uhakika na kanuni imara.
  • Sio kweli kuwa ni wafanya biashara tu wa maduka ya kubadili fedha ndio walifungiwa kufanya biasha hiyopia yapo na mabenki yaliyo fungiwa kufanya biashara hiyo kwa ukiukaji wa kanuni za ubadilishaji fedha.
  • Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank zote zilipigwa marufuku ya kuendesha biashara hiyo Novemba 23 kwa kukiuka sheria za biashara.
  • Wakati msako wa Arusha ukifanyika, thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ilikuwa imeshuka maradufu na kufikia Sh2,300 kwa dola moja. Mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa Julai 2015 na BoT ililazimika kuchukua hatua mahususi kukabiliana na anguko hilo.
  • Tangia hapo fedha yetu iliimalika hadi leo ninapo wakumbusha kuhusu jana yetu,kuna watu walihangaika kutufikisha hapa tulipo ila kuna watu pia wanataka turudie ujinga huo TULAMBE MATAPISHI YETU ILI WAPIGE, TENA WANA KIU KALI.
  • Kila wanapoongelea jambo hili wanaongelea dhuruma iliyo fanywa na serkali kwenye mitaji yao, wana sahau kuwa ilikuwa ni biashara haramu iliyo umiza uchumi wetu vibaya sana,wanataka tuwarejeshee mitaji yao na pia biashara yao ili waanze tena upya kulipora taifa?
  • Kila mtu alisimama kuiomba serikali ichukue hatua madhubuti kumaliza tatizo ambalo lilikuwa dhahiri linaenda kuangamiza taifa hili,kama tungeendelea na trend ile leo hii Zimbabwe angekuwa cha mtoto.
  • Ifike wakati enyi wapiga zumari oneni aibu alie tuokoa bado hata hajaoza, mmekazana kuturudisha Baberi lakini pia teknolojia ipo itakumbusha kila kitu mlichotufanyia.
  • MWENDA ZAKE alifanya makubwa kwa ajili ya taifa lake Mwenyezi Mungu amrehemu.
Naruhusu kutukanwa,kuitwa utopolo ila ukweli ndio huo biashara ya maduka ya Breau de change ndicho yalicho kifanya enzi hizo, kwa hiyo wapiga zumari mkiongea eti serikali iliwadhurumu pia muongelee na hujuma hizi za uchumi.

Biashara ya kubadili fedha za kigeni kudhibitiwa Tanzania - BBC News Swahili

Wakishachafua hali ya hewa na kudondosha thami ya pesa utasikia haohao wakilalamika hapa mtandaoni juwa shilingi imeporomoka wakati wao ndo washiliki wa kuiporomosha
 


Anguko kubwa la thamani ya sh ya tanzania lilishuhudiwa mwaka 2015 april, ambapo kwa muda wa mwezi mmoja thamani ya shilingi ya Tanzania ilipolomaka toka sh 1650 kwa dola moja hadi sh 2010 kwa dola moja, hili lilikuwa ni anguko la asilimia 21% ndani ya mwezi mmoja.

Hints:
  • Tukio hili lilitokea baada tu ya uchaguzi wa 2015,na hii haikuwa mara ya kwanza ilikuwa imejitokeza hivyo kila baada ya uchaguzi kupita,ila anguko la mwaka 2015 lilikuwa polomoko kubwa kuliko ya miaka iliyopita.
  • Ilikuwa wazi kuwa kila nchi yetu inapokaribia uchaguzi watu walinunua fedha za kigeni kwa wingi na kuzitoroshea nje hivyo kusababisha tatizo la ujazi wa fedha za kigeni nchini.
  • Tofauti na miaka mingine uchaguzi wa mwaka 2015 haukuwa unatabirika na kwa wengi waliziona darili za CCM kuondolewa madarakani, hivyo kuzalisha hofu kwa wenye fedha kwa kuhofia mabadiriko, wengi walihamisha fedha kwenda nje ya nchi.
  • Ili kukabiliana na tatizo hili serikali iliamua kutafuta chanzo cha anguko hili na mengine yaliyotokea nyuma ili kupata ufumbuzi wa kudum.
  • Tatizo la kwanza na la msingi ilikuwa uanzishaji holela wa maduka ya kubadilishia fedha hasa mjini Arusha na Dar es salaam,ambako ndio zilikuwa njia kuu za utoroshaji wa fedha za kigeni.
  • Biashara ya utakatishaji na utoroshaji wa fedha za kigeni ilikuwa ni biashara haramu iliyokuwa inafanywa na genge lililokuwa limejiimalisha ndani na nje ya serikali(mafioso deal) fedha yote iliyopataikana kwa njia za kifisadi,wizi na njia nyingine ambazo sio halari ziliingia kwenye mzunguko ama kutoroshwa kwa kupitia utaratibu huo wa breau de change.
  • Haikuwa rahisi kupata ushahidi wa kutosha pale ambapo BOT ilifanya ukaguzi wa kawaida kwenye maduka haya kwani wahusika walipata taarifa mapema na kuficha nyaraka na vitu ambavyo vingesababisha kugundulika kwa uhalifu wao.
  • Hadi kufia mwaka 2018 ambapo tayari mpolomoko ulikuwa umefikia sh 2350 kwa dora moja ndipo BOT kwa kushirikiana na vyombo vyote vya usalama likiwemo jeshi la wananchi walipovamia kwa pamoja maduka yote kwa wakati mmoja na kupata ushahidi wa kutosha na biashara hiyo ikafungwa na kurejeshwa kwenye mabenki ya biashara,na kubaki na maduka machache yaliyo dhibitiwa kwa uhakika na kanuni imara.
  • Sio kweli kuwa ni wafanya biashara tu wa maduka ya kubadili fedha ndio walifungiwa kufanya biasha hiyopia yapo na mabenki yaliyo fungiwa kufanya biashara hiyo kwa ukiukaji wa kanuni za ubadilishaji fedha.
  • Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank zote zilipigwa marufuku ya kuendesha biashara hiyo Novemba 23 kwa kukiuka sheria za biashara.
  • Wakati msako wa Arusha ukifanyika, thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ilikuwa imeshuka maradufu na kufikia Sh2,300 kwa dola moja. Mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa Julai 2015 na BoT ililazimika kuchukua hatua mahususi kukabiliana na anguko hilo.
  • Tangia hapo fedha yetu iliimalika hadi leo ninapo wakumbusha kuhusu jana yetu,kuna watu walihangaika kutufikisha hapa tulipo ila kuna watu pia wanataka turudie ujinga huo TULAMBE MATAPISHI YETU ILI WAPIGE, TENA WANA KIU KALI.
  • Kila wanapoongelea jambo hili wanaongelea dhuruma iliyo fanywa na serkali kwenye mitaji yao, wana sahau kuwa ilikuwa ni biashara haramu iliyo umiza uchumi wetu vibaya sana,wanataka tuwarejeshee mitaji yao na pia biashara yao ili waanze tena upya kulipora taifa?
  • Kila mtu alisimama kuiomba serikali ichukue hatua madhubuti kumaliza tatizo ambalo lilikuwa dhahiri linaenda kuangamiza taifa hili,kama tungeendelea na trend ile leo hii Zimbabwe angekuwa cha mtoto.
  • Ifike wakati enyi wapiga zumari oneni aibu alie tuokoa bado hata hajaoza, mmekazana kuturudisha Baberi lakini pia teknolojia ipo itakumbusha kila kitu mlichotufanyia.
  • MWENDA ZAKE alifanya makubwa kwa ajili ya taifa lake Mwenyezi Mungu amrehemu.
Naruhusu kutukanwa,kuitwa utopolo ila ukweli ndio huo biashara ya maduka ya Breau de change ndicho yalicho kifanya enzi hizo, kwa hiyo wapiga zumari mkiongea eti serikali iliwadhurumu pia muongelee na hujuma hizi za uchumi.

Biashara ya kubadili fedha za kigeni kudhibitiwa Tanzania - BBC News Swahili
Bandiko zuri sana. Linatoa elimu kubwa kuhusu sakata la hayo maduka na thamani ya shilingi yetu. Kwa mtu mwenye uelewa hayo masuala hataacha kukupa kongole na kuliunga mkono bandiko lako.

Nchi ili iendelee kuna wakati ni lazima kufanya maamuzi magumu hata kama hayavutii.

Kabla ya kibano cha BoT, hayo maduka yalikuwa yakiendeshwa manually hivyo ikawa ngumu kujua ni kiasi gani cha fedha za kigeni ziko mtaani tofauti na ilivyo kwa mabenki. Ikiwa hivyo, udhibiti wa thamani ya fedha unakuwa mgumu sana.

Miamala ya kubadili fedha haikuwa ya kielektroniki hivyo ni ngumu kufanya monitoring.

Ni kupitia ule mchakato binafsi nikapata somo/jibu ni kwa nini thamani ya shilingi yetu ilikuwa ikizidi kuporomoka ilhali uzalishaji ulikuwa ukikua! Mauzo ya nje ya nchi yanakua lakini thamani ya pesa inashuka. Kama mchumi nilibaki na viulizo tu.

Lakini kupitia sakata hilo nikapata jibu.
 
Back
Top Bottom