Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Husika na kichwa cha habari hapo mnamo mwaka jana niliweza post humu kuwa nimempa mimba binti wa chuomwaka wa pili mimba.
Wengi humu walitoa ushauri kwamba nisije jaribu kumwambia huyo binti atoe hio mimba wala nisikatae majukumu kwa sababu mwanakulitafuta mwana kulipata hivyo nikafuata ushauri huo.
Leo nina nina furaha ya ajabu sana hakika kupata mtoto ni jambo la heri na faraja sana.Now akili imefunguka nimekuwa Baba.
Pia soma: Niko njia panda, ushauri unahitajika
Wengi humu walitoa ushauri kwamba nisije jaribu kumwambia huyo binti atoe hio mimba wala nisikatae majukumu kwa sababu mwanakulitafuta mwana kulipata hivyo nikafuata ushauri huo.
Leo nina nina furaha ya ajabu sana hakika kupata mtoto ni jambo la heri na faraja sana.Now akili imefunguka nimekuwa Baba.
Pia soma: Niko njia panda, ushauri unahitajika