unexpected
Member
- Sep 30, 2016
- 8
- 1
Kwema wadau wa jf.
Nashukuru kuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na uwanja bora kabisa wa fikra pevu za watanzania wenye nia njema na taifa lao na wachache wenye nia mbaya na bila kusahau group la watu wenye kuchalenji mambo mbalimbali. Kwa kweli jf ni sehemu ya maisha yangu na pengine niseme ukweli kwamba najuta kuchelewa kuifahamu jf. Mbarikiwe sana wadau wote kwa ujumla hususani waanzilishi.
Ombi langu ni namna mimi kuweza kupost mawazo yangu kila siku huwa nashindwa hususani ninapoambiwa nichague sub-forum. Nifanyaje katika hilo?
Weekend njema.
Nashukuru kuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na uwanja bora kabisa wa fikra pevu za watanzania wenye nia njema na taifa lao na wachache wenye nia mbaya na bila kusahau group la watu wenye kuchalenji mambo mbalimbali. Kwa kweli jf ni sehemu ya maisha yangu na pengine niseme ukweli kwamba najuta kuchelewa kuifahamu jf. Mbarikiwe sana wadau wote kwa ujumla hususani waanzilishi.
Ombi langu ni namna mimi kuweza kupost mawazo yangu kila siku huwa nashindwa hususani ninapoambiwa nichague sub-forum. Nifanyaje katika hilo?
Weekend njema.