hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,625
- 63,101
Yatakayo mfika atajua kuwa hajui....aendelee kutukana "wakunga"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatakayo mfika atajua kuwa hajui....aendelee kutukana "wakunga"
Ni swala la muda tu ngoja nyeg.e zako zikirudi kutoka likizo
Alisikika mtu mmoja....ooo kuanzia leo namfuata Mungu....akapaza sauti kuu....oooo kuanzia Leo nimeokoka...nimeokoka....
Kila asubuhi anapiga makelele mtaani...oooo Mimi ni mlokole...jamani eee siachi wokovu....
Rip bro.wangu I.....i ambaye kila akikosa fedha alikuwa anashinda MSIKITINI...yaani SWALA 5....
Akizipata Tena tu....kabadilika....
🤣Brother mimi nikajua umeacha pombe!
Wanawake hawaachwi, ipo siku utafanya tuu.
Kumbe haujaacha kwa kupenda, ni kwa vile umepoteza mawasiliano. Na ni kitendo cha juzi tu.Ndugu habarini!
Huu mwaka umekuwa nzuri kwangu kwenye baadhi ya masuala ila ndio mwaka ambao nimekuwa na case nyingi za uchepukaji.
Nilikuwa na mademu zaidi ya wanne ambao nilikukuwa nawala.
Sikuipenda tabia hii ya uzinzi, na miezi 2 iliyopita niliumwa Typhoid nilipokwenda kituo cha afya Doctor akanisihi nipime UKIMWI. Nikawa negative (sina ngoma).
Wife ni mwanamaombi nzuri tu. Jinsi alivyonidaka na michepuko unajua kabisa kuwa Mungu wake kamsaidia.
Kila nikitaka kuacha nashindwa, wakinipigia naweka miadi then tuna do.
Juzi nimeibiwa simu. Sasa michepuko hainipati hewani nami sina mpango nao, namba zao ninazo kwakuwa nilisave google. Nitadelete one to one leo.
Biashara ya uzinzi kwisha habari yake.Sitarenew zile line za simu .
Sisi walinzi tuna utatu mtakatifu ambao tunauita WWW.
Wine
Women &
War.
Sasa mimi nabaki na umoja mtakatifu pekee ambao ni WAR.
.....Yatakayo mfika atajua kuwa hajui
🤣Kumbe haujaacha kwa kupenda, ni kwa vile umepoteza mawasiliano. Na ni kitendo cha juzi tu.
Nasema hivi.
BADO HAUJAAMUA KUACHA.
Ikiwa kweli umeamua kuacha rudisha laini zako zilezile kisha wapige block. Hapo sasa njoo utuambie haya unayojaribu kutudanganya hapa sasa hivi.
Hapo juzi juzi tu bado huna nyege, we subiri zikushike utawafuata wanapoishi hata kama umefuta google. Hii inaitwa maamuzi ya mhemuko.
Huyu hajaamua kuacha, anayeamua kwa dhati asingeleta hata uzi hapa. Mtu mwenyewe hajiamini anaogopa hadi kurudisha laini zake, kaacha nini sasa.....aendelee kutukana "wakunga"🤣
🤣Huyu hajaamua kuacha, anayeamua kwa dhati asingeleta hata uzi hapa. Mtu mwenyewe hajiamini anaogopa hadi kurudisha laini zake, kaacha nini sasa.
Huku sio kuacha bali ni kujificha 🤣🤣🤣🤸♂️
hata mimi imenishangaza aisee mtu ameshamjua ana ngoma halafu anaendelea kumtomba huu uchu mwingine huuMkuu una moyo kweli daah! Kapime tena
Alisikika mtu mmoja....ooo kuanzia leo namfuata Mungu....akapaza sauti kuu....oooo kuanzia Leo nimeokoka...nimeokoka....
Kila asubuhi anapiga makelele mtaani...oooo Mimi ni mlokole...jamani eee siachi wokovu....
Rip bro.wangu I.....i ambaye kila akikosa fedha alikuwa anashinda MSIKITINI...yaani SWALA 5....
Akizipata Tena tu....kabadilika....
Ndio hvyo aisee,siku nyege zikimshika akajipitisha mrembo mwenye msambwanda huku akitikisa basi shetani anakaa katiBrother mimi nikajua umeacha pombe!
Wanawake hawaachwi, ipo siku utafanya tuu.
Faster sana yani !!Ndio hvyo aisee,siku nyege zikimshika akajipitisha mrembo mwenye msambwanda huku akitikisa basi shetani anakaa kati
🤣🤣yale mambo achana nayo.
Tatizo ukimwii umekaa pabayaa"In Mwinyi mzee wa ruksa's voice"
Eti kaacha my foot ..kaacha au kapumzika !?Juzi tuu umeibiwa simu leo unadai umeacha uzinzi??
Genye hazijakushika wewe subiri tuone kama week 2 zitaisha kama hautarudi na kasi ya 5G
Duu pole sana mkuuSio kiboga sheikh wangu.
Wewe wawaza tigo tu.
Niliwala kavukavu kasoro mmoja tu ambaye ana ngoma huyo ndiye alikuwa hataki nimle bila kondomu
AsanteHongera
Ahahahahaha.Juzi tuu umeibiwa simu leo unadai umeacha uzinzi??
Genye hazijakushika wewe subiri tuone kama week 2 zitaisha kama hautarudi na kasi ya 5G