Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,124
Ndugu habarini!
Huu mwaka umekuwa nzuri kwangu kwenye baadhi ya masuala ila ndio mwaka ambao nimekuwa na case nyingi za uchepukaji.
Nilikuwa na mademu zaidi ya wanne ambao nilikukuwa nawala.
Sikuipenda tabia hii ya uzinzi, na miezi 2 iliyopita niliumwa Typhoid nilipokwenda kituo cha afya Doctor akanisihi nipime UKIMWI. Nikawa negative (sina ngoma).
Wife ni mwanamaombi nzuri tu. Jinsi alivyonidaka na michepuko unajua kabisa kuwa Mungu wake kamsaidia.
Kila nikitaka kuacha nashindwa, wakinipigia naweka miadi then tuna do.
Juzi nimeibiwa simu. Sasa michepuko hainipati hewani nami sina mpango nao, namba zao ninazo kwakuwa nilisave google. Nitadelete one to one leo.
Biashara ya uzinzi kwisha habari yake.Sitarenew zile line za simu .
Sisi walinzi tuna utatu mtakatifu ambao tunauita WWW.
Wine
Women &
War.
Sasa mimi nabaki na umoja mtakatifu pekee ambao ni WAR.
Huu mwaka umekuwa nzuri kwangu kwenye baadhi ya masuala ila ndio mwaka ambao nimekuwa na case nyingi za uchepukaji.
Nilikuwa na mademu zaidi ya wanne ambao nilikukuwa nawala.
Sikuipenda tabia hii ya uzinzi, na miezi 2 iliyopita niliumwa Typhoid nilipokwenda kituo cha afya Doctor akanisihi nipime UKIMWI. Nikawa negative (sina ngoma).
Wife ni mwanamaombi nzuri tu. Jinsi alivyonidaka na michepuko unajua kabisa kuwa Mungu wake kamsaidia.
Kila nikitaka kuacha nashindwa, wakinipigia naweka miadi then tuna do.
Juzi nimeibiwa simu. Sasa michepuko hainipati hewani nami sina mpango nao, namba zao ninazo kwakuwa nilisave google. Nitadelete one to one leo.
Biashara ya uzinzi kwisha habari yake.Sitarenew zile line za simu .
Sisi walinzi tuna utatu mtakatifu ambao tunauita WWW.
Wine
Women &
War.
Sasa mimi nabaki na umoja mtakatifu pekee ambao ni WAR.