Bangusilo
Senior Member
- Feb 7, 2008
- 137
- 10
Ndugu wana JF
Wengi nadhani mliliona tangazo hili
"natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu,
mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia miaka 32-45
awe anaishi dar es salaam"
Baada kusota benchi kwa miezi 8 bila timu wala kuchakachua, nakuamua kutafuta mpezi kwenye forums hii napenda kuwajulisha kuwa nimempata kupitia hapa hapa, bahati nzuri pia alikuwa rafiki ya girlfriend wangu tulieachana, na ameniahidi kuwa atanipa mapenzi motomoto,
Hasa ukizingatia alikuwa nae alikuwa broken heart like me.
i.e. Society of Broken Hearts(SOB)
Idumu JF
With thanks
Wenu
Bangu
Wengi nadhani mliliona tangazo hili
"natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu,
mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia miaka 32-45
awe anaishi dar es salaam"
Baada kusota benchi kwa miezi 8 bila timu wala kuchakachua, nakuamua kutafuta mpezi kwenye forums hii napenda kuwajulisha kuwa nimempata kupitia hapa hapa, bahati nzuri pia alikuwa rafiki ya girlfriend wangu tulieachana, na ameniahidi kuwa atanipa mapenzi motomoto,
Hasa ukizingatia alikuwa nae alikuwa broken heart like me.
i.e. Society of Broken Hearts(SOB)
Idumu JF
With thanks
Wenu
Bangu