pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 592
- 178
Hukupangiwa IFM kwa sababu hukuwa na sifa za kujiunga na hicho chuo.Ndiyo maana SAUT ukiwa na hata division two ya form six unaweza kuchaguliwa kusomea sheria direct, lakini UDSM huwezi kuchaguliwa sheria direct ukiwa na division two.
Unavyosema yeyote humu ndani angechaguliwa IFM angejisikiaje,inategemea mtu mwenyewe ulivyosoma malengo yake yalikuwa awe nani baada ya kumaliza elimu ya juu.
sio 2 bali kuna jamaa ana 3 16 kaenda kusomea law