MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,654
- 31,421
Wasalaam wana JF
Ushaidi wa mtu kuwa na akili ni pamoja na kujitambua na kujua haki zake. Haki ni kama wembe zinakata pande zote, inapopokonywa kwa mwenzako wewe una uhakika gani utaipata?
Kila nikisoma uzi humu ndani naona wapo watu wanaofurahia kuona wananchi wenzao wakionewa na kunyimwa haki zao kama vile wao siyo wananchi na wamechoma chanjo ya kuzuia haki zao kunyimwa na kuvunjwa.
Taifa likiwa na watu wa aina hii ni ushaidi wa uwezo duni wa watu kufikiri na ni kielezo cha umasikini. Tazama mahali popote duniani penye watu wenye political consciousness umasikini ni jambo la historia. Ikumbukwe kupitia maneno ya JF. Kennedy kwamba: those who make peaceful revolution immpssible will make violent revolution inevitable.
Ushaidi wa mtu kuwa na akili ni pamoja na kujitambua na kujua haki zake. Haki ni kama wembe zinakata pande zote, inapopokonywa kwa mwenzako wewe una uhakika gani utaipata?
Kila nikisoma uzi humu ndani naona wapo watu wanaofurahia kuona wananchi wenzao wakionewa na kunyimwa haki zao kama vile wao siyo wananchi na wamechoma chanjo ya kuzuia haki zao kunyimwa na kuvunjwa.
Taifa likiwa na watu wa aina hii ni ushaidi wa uwezo duni wa watu kufikiri na ni kielezo cha umasikini. Tazama mahali popote duniani penye watu wenye political consciousness umasikini ni jambo la historia. Ikumbukwe kupitia maneno ya JF. Kennedy kwamba: those who make peaceful revolution immpssible will make violent revolution inevitable.