Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

Cd4ever92

Member
Mar 8, 2013
11
2
Habari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi
 
Kuumia si kitu cha ajabu na muda ukipita maumivu yatapungua. Kila la heri.

Habari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi
 
Pole sana lakin endelea kumchunguza ukiona tabia yake inazidi kukuchanganya achana nae kwani atakufanya ushindwe kufanya mambo ya mcngi na kukalia kufikilia jambo moja tu how to treat your partinner in a good way. Utajipa kazi cha mcngi funga mkanda kaza na kamba huruma weka kando
 
Usije ukaleta mrejesho WA yaliyotokea baada ya kuendelea naye. In fact mademu wako wengi wote wana haki ya kupenda na kupendwa. Oa mdada mwingine wanawake WOTE wazuri fuata flow ya DuniA. Tawala kila kitu. Ila kuwa makini
 
Kabla hujaamua chochote, anzisha mahusiano mengine kimya kimya then compare the two.

Kamwe usijaribu kuacha kabla hujapata pa kuegesha, wanawake wanaojiheshimu bado wapo.

Ukibahatika waweza juta kuchelewa.
 
Pole sana lakin endelea kumchunguza ukiona tabia yake inazidi kukuchanganya achana nae kwani atakufanya ushindwe kufanya mambo ya mcngi na kukalia kufikilia jambo moja tu how to treat your partinner in a good way. Utajipa kazi cha mcngi funga mkanda kaza na kamba huruma weka kando
Asante. Nitafanya hivyo
 
Husikii kama kenge,utoke damu yaani na kukutesa kisaikolojia bado unahisi anakupenda kweli?
 
Usije ukaleta mrejesho WA yaliyotokea baada ya kuendelea naye. In fact mademu wako wengi wote wana haki ya kupenda na kupendwa. Oa mdada mwingine wanawake WOTE wazuri fuata flow ya DuniA. Tawala kila kitu. Ila kuwa makini
Asante sana n ntajtahd
 
Kabla hujaamua chochote, anzisha mahusiano mengine kimya kimya then compare the two.

Kamwe usijaribu kuacha kabla hujapata pa kuegesha, wanawake wanaojiheshimu bado wapo.

Ukibahatika waweza juta kuchelewa.
Nmeshajaribu hilo ila cha ajabu sienjoy chochote huko kwngne.. Na hapo ndo nakosa cha kufanya kwan sitaman kwngne
 
Back
Top Bottom