Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
😂😂😂😂poleee sanaaaa hata 10m huna??Wote hatuna 70m
😂😂😂😂poleee sanaaaa hata 10m huna??Wote hatuna 70m
Jamaa ni waizi sana.
Ukitaka kuwajua kua
Nini 10m, laki tu shida😂😂😂😂poleee sanaaaa hata 10m huna??
tatizo la huu mtandao upo mijini wanatusahau sis wa vjijinRudi nyumbani kumenoga sh 5000 dk 380 mitandao yote siku 30
Kenge wewe matajiri hawajisifii wewe mfua nguo za watoto wa pole pole kuwa mpoleMnalalamika kwa sababu ya umasikini kwenye account nina zaidi ya 70m siwezi kuanza kulia lia na bundle
Wacha weeeeMnalalamika kwa sababu ya umasikini kwenye account nina zaidi ya 70m siwezi kuanza kulia lia na bundle
Hiyo million 70 unayojivunia ni budget ya Chakula na matibabu ya Mbwa wangu kwa mwaka sasa endelea na majivuno yakoMnalalamika kwa sababu ya umasikini kwenye account nina zaidi ya 70m siwezi kuanza kulia lia na bundle