Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

Wat
Wakuu habari zenu..
Poleni sana na majukumu
Napenda kuandika ujumbe huu nikiwa na akili zangu timamu..tupo kwenye kushare mawazo kama vijana..

IKO HV
Nina mrembo mmoja ambayo nimesoma naye chuo since 2 years ago na tumemaliza mwaka jana wote pamoja...

Huyu manzi alikuwa ni mgeni pale chuo dodoma na mimi ndiye alikuwa rafk yake wa kwanza kabisa pale chuo cause alikuwa ananiganda sana, kwa bahat nzur sikuwa na mahusiano yoyoye kwa wakati huo nikasema hii ndo bahat imejileta yenyewe nikatupia nanga mtoto akakubali tukawa na mahusiano, Tulikaa mda mref sikuwai kuse× naye na alikuwa ananiambia kuwa yeye ni bikra anataman nifanye naye hicho kiti cause anataman kujua kikoje (kwa maelezo yake) nilikuwa naumia cause nilikuwa bado niko kwa wazazi na yeye huwa hataki kwenda guest but alizidi kunipenda zaidi yani mapenz yalipamba moto.. ilifila kipnd ghafla nikaona kama amepunguza upendo kwangu sababu tulizoea kurud wote ila akawa mda wa kurud ukimwambia anakwmbia anataka abaki kusoma so nikawa namwacha naondoka mwenyewe,pia sometime message akawa anajibu kwa kuamua mara ajibu mara akujibu mkato, me nikajiongeza nikaona hapa sipendwi tena wameshamshika masikio bc niliumia ila ikafika time nikaamua liwalo na liwe nikakata mahusiano pasipo kumwambia yaani sms sijibu,sina stort naye kiufupi nafanya yangu mda huo tulikuwa bado tuko chuo. Rafiki zangu walinishaur mda mref niachane naye ila sikusikia cause nilimpenda sana na ndo nilipanga awe mama watoto wangu hapo baadae but nikasema ngoja tu nipige chini.

Siku zilienda akaanz kujirudi kujenga mazoea na mimi ikifika mda wa kuondoka ananifuata twondoke wote me namwambia kuwa nabaki siondoki bac atanisubir hata kama ni mpka saa2 usiku, sometime huwaga sina ratba yyte ila tu namwambia nabaki kusoma, kila ninapoenda anataka tuwe ote me nikawa nashindwa kumwelewa kuwa nini kimemrudisha kwangu ikafika time naona anazid kunipenda zaidi ( kumbuka kwamba tunda sijala na sina hamu nalo kabisa kwa kutokana na mambk yake) bc ikaenda upendo ulizidi but me nilikuwa nachukulia kawaida cause alishaniumizaga..

Ikafika time tumemaliz chuo nikasema nimnyandue......siku ya kwanza namnyandua sikukuta bikra kama alivyosemaga awali.

Mpaka leo ni mwaka wa 4 ninamahusiano naye ananipenda kupita maelezo..
-Simu yake nashika mda wowote niutakao
-account zake zote za mitandao ya kijamii mimi ndo naziendesha i mean kanipa passward zote hvyo nafungua mda wowote niutakao
-Mitandao ya kijamii yote anatumia jina langu. Mfano...(Kidawa pascal) ingawa sio jina husika ni mfano tu hapo
-Kuniomba ela anaona aibu mpka sometime namuuliza kwamba hunaga shida ananijibu anaogopa ingawa yuko home hafanyi kazi yoyote huwa namtumiaga nikijiskia
-Mzigo nakula mda wowote ninaohitaji sikuwai kupigwa kalenda wala kuliwa nauli, nikichat naye mchana jion yuko gheto
-Anasema nikimuacha atajiua na last month alikuta sms kwenye simu yngu alilia nikambembeleza yakeisha akarud kwao siku ya pili napigiwa simu yuko hospital nimekuta kawekewa dreep na wamepima tatzo hana wakasema wamuongezee tu maji mwilini.

LICHA YA YOTE HAYA ANAYOFANYA ILA ME SIJAWAI KUMPENDA TOKA MOYONI
ILA Ni CUTE. cause chuo walikuwa wanesema kwamba katika warembo yeye ni No.1 alikuwa anajulikama hvyo kwa pale chuo..


KINACHOFANYA NISIMPENDE HUYU MREMBO NI KWAMBA KINAWEZA ONEKANA CHA KIJINGA ILA HUWA TUNATOFAUTIANA WAKUU
1.Aliniambia ni bikra ila sikumkuta hvyo swali ni je aliingiliwa kabla ya kuanza chuo ila aliamua kuniongopea au aliingiliwa akiwa chuo?? Na kama ni chuo bc ni alinicheat cause nilianza naye mahusiano mapema sana pale chuo na hakuwa na mazoea na mvulana mwngine yoyote kipindi hicho alianza nao mazoea baadae sana na ndo kipindo ambacho alikuwa hanitaki

2. Alikuwa hanitaki kabisa bila sababu yoyote yaani sikumuumiza wala mcheat ila tu alianz kunichukia na miez kadhaa mbele akarud kunipenda bila sababu yoyote pia.

Huwaga natamani kupotezea ila tu hivyo vtu vinanifanya sometime namkumbuka matendo yake mabaya yote aliyonifanyia najikuta namchukia, hapa ninavyotype kuna missed calls zake 6 za muda huu ila tu najikuta simkubali asee....

Naombeni ushauri juu ya hili wakuu

NAOMBENI POSITIVE ADVICES
MSINIPOPOE
AGE NI 24-28

Nifanyaje juu ya huyu mtu ili japo moyo uweze kurudi kwke.
Watu mna visa aisee, asa iyo ndio sababu ya kutompenda? Vingine unapiga chini then mnasonga as longer anakupenda.. Mzee ukimuacha utakuja pata dubwana hilo hutoamini nakuambia.

Tatizo la wasomi mnataka endesha ndoa kisomi, yaan reasoning na procedure mnataka katika kila kitu, hii ina haribu mahusiano ya wasomi wengi.

Angalia kwa sasa,kama anakupenda haku cheat, na ni mzuri, shikilia mzee.
Usijesema sikukuambia
 
Fanya umuulize kiume yaani...na ukikaa kimya atakuona wewe bado mtoto

Muulize kabla ya kufanya chochote uliniambia kuwa wewe ni bikla na ilikuaje sikukuta hiyo bikra?
 
Swala la bikira imetokea lini ni vizuri ukaongea nae kumuuliza mbona alichosema hukukuta, ila Uliza kwa umakini maana ataona pia ni Visa unataka kumuacha tu sababu kosa kubwa ulilofanya ni ulipoikosa na ukakaa kimya

Inawezekana wakati alipokuacha alipata raia akabonya akatoa bikira then akaumizwa moyo aliporudi ulipompokea akaona ni funzo kwake ndio maana akarudi na miguu yote miwili hataki kusikia mwingine

Ila katika yote mkuu kama ni swala la kumuoa bikira sio kigezo maana watu hubadilika kiongozi, kama anakupenda na ww unaweza kusahau yote yaliyotokea ukatengeneza maisha na mtoto mzuri


Ushauri bora kabisa huu.
Kama kukusikia amesikia, otherwise atakua ana sababu nyingine za kutaka kumuacha huyo binti.

Nina mfano mzuri sana unaoendana na alichoandika, lakini kwa sababu bikra ndio lilikua lengo lake akaona hastahili tena kuwa nae. As we speak my friend yuko kwenye majuto makubwa (tumetumia busara kumrudisha aliekua shemeji yetu imeshindikana) and the girl is getting married na mtu alieona thamani yake.
 
Wat

Watu mna visa aisee, asa iyo ndio sababu ya kutompenda? Vingine unapiga chini then mnasonga as longer anakupenda.. Mzee ukimuacha utakuja pata dubwana hilo hutoamini nakuambia..
Tatizo la wasomi mnataka endesha ndoa kisomi, yaan reasoning na procedure mnataka katika kila kitu, hii ina haribu mahusiano ya wasomi wengi.
Angalia kwa sasa,kama anakupenda haku cheat, na ni mzuri, shikilia mzee.
Usijesema sikukuambia

Ni utoto, akikua ataacha lakini atakua amechelewa.
 
Huenda kipindi alipopunguza ukaribu na wewe alipata mtu mwingine ila baadaye wakazinguana, ndio akarudi kwako. Unajua wanawake ni watu wa hisia tu uenda sasa hivi anakupenda kwa dhati. Muulize maswali yote ili usiwe na kinyongo nae.
 
Iyo bikra imetolewa chuon kipindi mahusiano yamestuck,pili ulishibdwa kumshawishi umtoe iyo bikra, we cha msiNgi mrudie muuluze uwe huru then utaendelea kutafuta izo bikra taratibu pia mpe mimba upate nice offsprings
 
Wat

Watu mna visa aisee, asa iyo ndio sababu ya kutompenda? Vingine unapiga chini then mnasonga as longer anakupenda.. Mzee ukimuacha utakuja pata dubwana hilo hutoamini nakuambia..
Tatizo la wasomi mnataka endesha ndoa kisomi, yaan reasoning na procedure mnataka katika kila kitu, hii ina haribu mahusiano ya wasomi wengi.
Angalia kwa sasa,kama anakupenda haku cheat, na ni mzuri, shikilia mzee.
Usijesema sikukuambia
sawa mkuu
 
Iyo bikra imetolewa chuon kipindi mahusiano yamestuck,pili ulishibdwa kumshawishi umtoe iyo bikra, we cha msiNgi mrudie muuluze uwe huru then utaendelea kutafuta izo bikra taratibu pia mpe mimba upate nice offsprings
Sawa mkuu, ila uliposema hapo kwenye kuendelea kuzitafuta umeniongopea, ukitaka bikra ifuate primary school
 
Huenda kipindi alipopunguza ukaribu na wewe alipata mtu mwingine ila baadaye wakazinguana, ndio akarudi kwako. Unajua wanawake ni watu wa hisia tu uenda sasa hivi anakupenda kwa dhati. Muulize maswali yote ili usiwe na kinyongo nae.
Poa mkuu
 
Ushauri bora kabisa huu.
Kama kukusikia amesikia, otherwise atakua ana sababu nyingine za kutaka kumuacha huyo binti.

Nina mfano mzuri sana unaoendana na alichoandika, lakini kwa sababu bikra ndio lilikua lengo lake akaona hastahili tena kuwa nae. As we speak my friend yuko kwenye majuto makubwa (tumetumia busara kumrudisha aliekua shemeji yetu imeshindikana) and the girl is getting married na mtu alieona thamani yake.
Nimekuelewa kakaa
 
Wakuu habari zenu..
Poleni sana na majukumu
Napenda kuandika ujumbe huu nikiwa na akili zangu timamu..tupo kwenye kushare mawazo kama vijana..

IKO HV
Nina mrembo mmoja ambayo nimesoma naye chuo since 2 years ago na tumemaliza mwaka jana wote pamoja...

Huyu manzi alikuwa ni mgeni pale chuo dodoma na mimi ndiye alikuwa rafk yake wa kwanza kabisa pale chuo cause alikuwa ananiganda sana, kwa bahat nzur sikuwa na mahusiano yoyoye kwa wakati huo nikasema hii ndo bahat imejileta yenyewe nikatupia nanga mtoto akakubali tukawa na mahusiano, Tulikaa mda mref sikuwai kuse× naye na alikuwa ananiambia kuwa yeye ni bikra anataman nifanye naye hicho kiti cause anataman kujua kikoje (kwa maelezo yake) nilikuwa naumia cause nilikuwa bado niko kwa wazazi na yeye huwa hataki kwenda guest but alizidi kunipenda zaidi yani mapenz yalipamba moto.. ilifila kipnd ghafla nikaona kama amepunguza upendo kwangu sababu tulizoea kurud wote ila akawa mda wa kurud ukimwambia anakwmbia anataka abaki kusoma so nikawa namwacha naondoka mwenyewe,pia sometime message akawa anajibu kwa kuamua mara ajibu mara akujibu mkato, me nikajiongeza nikaona hapa sipendwi tena wameshamshika masikio bc niliumia ila ikafika time nikaamua liwalo na liwe nikakata mahusiano pasipo kumwambia yaani sms sijibu,sina stort naye kiufupi nafanya yangu mda huo tulikuwa bado tuko chuo. Rafiki zangu walinishaur mda mref niachane naye ila sikusikia cause nilimpenda sana na ndo nilipanga awe mama watoto wangu hapo baadae but nikasema ngoja tu nipige chini.

Siku zilienda akaanz kujirudi kujenga mazoea na mimi ikifika mda wa kuondoka ananifuata twondoke wote me namwambia kuwa nabaki siondoki bac atanisubir hata kama ni mpka saa2 usiku, sometime huwaga sina ratba yyte ila tu namwambia nabaki kusoma, kila ninapoenda anataka tuwe ote me nikawa nashindwa kumwelewa kuwa nini kimemrudisha kwangu ikafika time naona anazid kunipenda zaidi ( kumbuka kwamba tunda sijala na sina hamu nalo kabisa kwa kutokana na mambk yake) bc ikaenda upendo ulizidi but me nilikuwa nachukulia kawaida cause alishaniumizaga..

Ikafika time tumemaliz chuo nikasema nimnyandue......siku ya kwanza namnyandua sikukuta bikra kama alivyosemaga awali.

Mpaka leo ni mwaka wa 4 ninamahusiano naye ananipenda kupita maelezo..
-Simu yake nashika mda wowote niutakao
-account zake zote za mitandao ya kijamii mimi ndo naziendesha i mean kanipa passward zote hvyo nafungua mda wowote niutakao
-Mitandao ya kijamii yote anatumia jina langu. Mfano...(Kidawa pascal) ingawa sio jina husika ni mfano tu hapo
-Kuniomba ela anaona aibu mpka sometime namuuliza kwamba hunaga shida ananijibu anaogopa ingawa yuko home hafanyi kazi yoyote huwa namtumiaga nikijiskia
-Mzigo nakula mda wowote ninaohitaji sikuwai kupigwa kalenda wala kuliwa nauli, nikichat naye mchana jion yuko gheto
-Anasema nikimuacha atajiua na last month alikuta sms kwenye simu yngu alilia nikambembeleza yakeisha akarud kwao siku ya pili napigiwa simu yuko hospital nimekuta kawekewa dreep na wamepima tatzo hana wakasema wamuongezee tu maji mwilini.

LICHA YA YOTE HAYA ANAYOFANYA ILA ME SIJAWAI KUMPENDA TOKA MOYONI
ILA Ni CUTE. cause chuo walikuwa wanesema kwamba katika warembo yeye ni No.1 alikuwa anajulikama hvyo kwa pale chuo..


KINACHOFANYA NISIMPENDE HUYU MREMBO NI KWAMBA KINAWEZA ONEKANA CHA KIJINGA ILA HUWA TUNATOFAUTIANA WAKUU
1.Aliniambia ni bikra ila sikumkuta hvyo swali ni je aliingiliwa kabla ya kuanza chuo ila aliamua kuniongopea au aliingiliwa akiwa chuo?? Na kama ni chuo bc ni alinicheat cause nilianza naye mahusiano mapema sana pale chuo na hakuwa na mazoea na mvulana mwngine yoyote kipindi hicho alianza nao mazoea baadae sana na ndo kipindo ambacho alikuwa hanitaki

2. Alikuwa hanitaki kabisa bila sababu yoyote yaani sikumuumiza wala mcheat ila tu alianz kunichukia na miez kadhaa mbele akarud kunipenda bila sababu yoyote pia.

Huwaga natamani kupotezea ila tu hivyo vtu vinanifanya sometime namkumbuka matendo yake mabaya yote aliyonifanyia najikuta namchukia, hapa ninavyotype kuna missed calls zake 6 za muda huu ila tu najikuta simkubali asee....

Naombeni ushauri juu ya hili wakuu

NAOMBENI POSITIVE ADVICES
MSINIPOPOE
AGE NI 24-28

Nifanyaje juu ya huyu mtu ili japo moyo uweze kurudi kwke.
jaribu kukumbuka mazuri yake pia naamini anayo mengi kuliko hayo mabaya yake pima halafu yafanyie kazi mazuri yake hakuna binadam aliyekamilika hapa duniani acha akili za kitoto
 
Wakuu habari zenu..
Poleni sana na majukumu
Napenda kuandika ujumbe huu nikiwa na akili zangu timamu..tupo kwenye kushare mawazo kama vijana..

IKO HV
Nina mrembo mmoja ambayo nimesoma naye chuo since 2 years ago na tumemaliza mwaka jana wote pamoja...

Huyu manzi alikuwa ni mgeni pale chuo dodoma na mimi ndiye alikuwa rafk yake wa kwanza kabisa pale chuo cause alikuwa ananiganda sana, kwa bahat nzur sikuwa na mahusiano yoyoye kwa wakati huo nikasema hii ndo bahat imejileta yenyewe nikatupia nanga mtoto akakubali tukawa na mahusiano, Tulikaa mda mref sikuwai kuse× naye na alikuwa ananiambia kuwa yeye ni bikra anataman nifanye naye hicho kiti cause anataman kujua kikoje (kwa maelezo yake) nilikuwa naumia cause nilikuwa bado niko kwa wazazi na yeye huwa hataki kwenda guest but alizidi kunipenda zaidi yani mapenz yalipamba moto.. ilifila kipnd ghafla nikaona kama amepunguza upendo kwangu sababu tulizoea kurud wote ila akawa mda wa kurud ukimwambia anakwmbia anataka abaki kusoma so nikawa namwacha naondoka mwenyewe,pia sometime message akawa anajibu kwa kuamua mara ajibu mara akujibu mkato, me nikajiongeza nikaona hapa sipendwi tena wameshamshika masikio bc niliumia ila ikafika time nikaamua liwalo na liwe nikakata mahusiano pasipo kumwambia yaani sms sijibu,sina stort naye kiufupi nafanya yangu mda huo tulikuwa bado tuko chuo. Rafiki zangu walinishaur mda mref niachane naye ila sikusikia cause nilimpenda sana na ndo nilipanga awe mama watoto wangu hapo baadae but nikasema ngoja tu nipige chini.

Siku zilienda akaanz kujirudi kujenga mazoea na mimi ikifika mda wa kuondoka ananifuata twondoke wote me namwambia kuwa nabaki siondoki bac atanisubir hata kama ni mpka saa2 usiku, sometime huwaga sina ratba yyte ila tu namwambia nabaki kusoma, kila ninapoenda anataka tuwe ote me nikawa nashindwa kumwelewa kuwa nini kimemrudisha kwangu ikafika time naona anazid kunipenda zaidi ( kumbuka kwamba tunda sijala na sina hamu nalo kabisa kwa kutokana na mambk yake) bc ikaenda upendo ulizidi but me nilikuwa nachukulia kawaida cause alishaniumizaga..

Ikafika time tumemaliz chuo nikasema nimnyandue......siku ya kwanza namnyandua sikukuta bikra kama alivyosemaga awali.

Mpaka leo ni mwaka wa 4 ninamahusiano naye ananipenda kupita maelezo..
-Simu yake nashika mda wowote niutakao
-account zake zote za mitandao ya kijamii mimi ndo naziendesha i mean kanipa passward zote hvyo nafungua mda wowote niutakao
-Mitandao ya kijamii yote anatumia jina langu. Mfano...(Kidawa pascal) ingawa sio jina husika ni mfano tu hapo
-Kuniomba ela anaona aibu mpka sometime namuuliza kwamba hunaga shida ananijibu anaogopa ingawa yuko home hafanyi kazi yoyote huwa namtumiaga nikijiskia
-Mzigo nakula mda wowote ninaohitaji sikuwai kupigwa kalenda wala kuliwa nauli, nikichat naye mchana jion yuko gheto
-Anasema nikimuacha atajiua na last month alikuta sms kwenye simu yngu alilia nikambembeleza yakeisha akarud kwao siku ya pili napigiwa simu yuko hospital nimekuta kawekewa dreep na wamepima tatzo hana wakasema wamuongezee tu maji mwilini.

LICHA YA YOTE HAYA ANAYOFANYA ILA ME SIJAWAI KUMPENDA TOKA MOYONI
ILA Ni CUTE. cause chuo walikuwa wanesema kwamba katika warembo yeye ni No.1 alikuwa anajulikama hvyo kwa pale chuo..


KINACHOFANYA NISIMPENDE HUYU MREMBO NI KWAMBA KINAWEZA ONEKANA CHA KIJINGA ILA HUWA TUNATOFAUTIANA WAKUU
1.Aliniambia ni bikra ila sikumkuta hvyo swali ni je aliingiliwa kabla ya kuanza chuo ila aliamua kuniongopea au aliingiliwa akiwa chuo?? Na kama ni chuo bc ni alinicheat cause nilianza naye mahusiano mapema sana pale chuo na hakuwa na mazoea na mvulana mwngine yoyote kipindi hicho alianza nao mazoea baadae sana na ndo kipindo ambacho alikuwa hanitaki

2. Alikuwa hanitaki kabisa bila sababu yoyote yaani sikumuumiza wala mcheat ila tu alianz kunichukia na miez kadhaa mbele akarud kunipenda bila sababu yoyote pia.

Huwaga natamani kupotezea ila tu hivyo vtu vinanifanya sometime namkumbuka matendo yake mabaya yote aliyonifanyia najikuta namchukia, hapa ninavyotype kuna missed calls zake 6 za muda huu ila tu najikuta simkubali asee....

Naombeni ushauri juu ya hili wakuu

NAOMBENI POSITIVE ADVICES
MSINIPOPOE
AGE NI 24-28

Nifanyaje juu ya huyu mtu ili japo moyo uweze kurudi kwke.
Mwambie
 
Alikosea kutokwambia kuhusu bikra na wewe ulikosea kutomuuliza.
Muulize ilikuaje, muulize sababu za kumute hapo katikati mpaka ukampotezea.

Tatizo lilipo kwako mkuu wewe sio muwazi kabisa, mwambie kinachokuumiza uone majibu yake na uyapime kama utayavumilia ama lah, sikufichi mkuu girls akipenda kweli anaweza kukwambia ukweli bila kukuficha akiamin akikwambia ukweli utamsamehe.

Bikra sio ishu kiivo we jamaa bna usimuache mtoto watu.
 
Wakuu habari zenu..
Poleni sana na majukumu
Napenda kuandika ujumbe huu nikiwa na akili zangu timamu..tupo kwenye kushare mawazo kama vijana..

IKO HV
Nina mrembo mmoja ambayo nimesoma naye chuo since 2 years ago na tumemaliza mwaka jana wote pamoja...

Huyu manzi alikuwa ni mgeni pale chuo dodoma na mimi ndiye alikuwa rafk yake wa kwanza kabisa pale chuo cause alikuwa ananiganda sana, kwa bahat nzur sikuwa na mahusiano yoyoye kwa wakati huo nikasema hii ndo bahat imejileta yenyewe nikatupia nanga mtoto akakubali tukawa na mahusiano, Tulikaa mda mref sikuwai kuse× naye na alikuwa ananiambia kuwa yeye ni bikra anataman nifanye naye hicho kiti cause anataman kujua kikoje (kwa maelezo yake) nilikuwa naumia cause nilikuwa bado niko kwa wazazi na yeye huwa hataki kwenda guest but alizidi kunipenda zaidi yani mapenz yalipamba moto.. ilifila kipnd ghafla nikaona kama amepunguza upendo kwangu sababu tulizoea kurud wote ila akawa mda wa kurud ukimwambia anakwmbia anataka abaki kusoma so nikawa namwacha naondoka mwenyewe,pia sometime message akawa anajibu kwa kuamua mara ajibu mara akujibu mkato, me nikajiongeza nikaona hapa sipendwi tena wameshamshika masikio bc niliumia ila ikafika time nikaamua liwalo na liwe nikakata mahusiano pasipo kumwambia yaani sms sijibu,sina stort naye kiufupi nafanya yangu mda huo tulikuwa bado tuko chuo. Rafiki zangu walinishaur mda mref niachane naye ila sikusikia cause nilimpenda sana na ndo nilipanga awe mama watoto wangu hapo baadae but nikasema ngoja tu nipige chini.

Siku zilienda akaanz kujirudi kujenga mazoea na mimi ikifika mda wa kuondoka ananifuata twondoke wote me namwambia kuwa nabaki siondoki bac atanisubir hata kama ni mpka saa2 usiku, sometime huwaga sina ratba yyte ila tu namwambia nabaki kusoma, kila ninapoenda anataka tuwe ote me nikawa nashindwa kumwelewa kuwa nini kimemrudisha kwangu ikafika time naona anazid kunipenda zaidi ( kumbuka kwamba tunda sijala na sina hamu nalo kabisa kwa kutokana na mambk yake) bc ikaenda upendo ulizidi but me nilikuwa nachukulia kawaida cause alishaniumizaga..

Ikafika time tumemaliz chuo nikasema nimnyandue......siku ya kwanza namnyandua sikukuta bikra kama alivyosemaga awali.

Mpaka leo ni mwaka wa 4 ninamahusiano naye ananipenda kupita maelezo..
-Simu yake nashika mda wowote niutakao
-account zake zote za mitandao ya kijamii mimi ndo naziendesha i mean kanipa passward zote hvyo nafungua mda wowote niutakao
-Mitandao ya kijamii yote anatumia jina langu. Mfano...(Kidawa pascal) ingawa sio jina husika ni mfano tu hapo
-Kuniomba ela anaona aibu mpka sometime namuuliza kwamba hunaga shida ananijibu anaogopa ingawa yuko home hafanyi kazi yoyote huwa namtumiaga nikijiskia
-Mzigo nakula mda wowote ninaohitaji sikuwai kupigwa kalenda wala kuliwa nauli, nikichat naye mchana jion yuko gheto
-Anasema nikimuacha atajiua na last month alikuta sms kwenye simu yngu alilia nikambembeleza yakeisha akarud kwao siku ya pili napigiwa simu yuko hospital nimekuta kawekewa dreep na wamepima tatzo hana wakasema wamuongezee tu maji mwilini.

LICHA YA YOTE HAYA ANAYOFANYA ILA ME SIJAWAI KUMPENDA TOKA MOYONI
ILA Ni CUTE. cause chuo walikuwa wanesema kwamba katika warembo yeye ni No.1 alikuwa anajulikama hvyo kwa pale chuo..


KINACHOFANYA NISIMPENDE HUYU MREMBO NI KWAMBA KINAWEZA ONEKANA CHA KIJINGA ILA HUWA TUNATOFAUTIANA WAKUU
1.Aliniambia ni bikra ila sikumkuta hvyo swali ni je aliingiliwa kabla ya kuanza chuo ila aliamua kuniongopea au aliingiliwa akiwa chuo?? Na kama ni chuo bc ni alinicheat cause nilianza naye mahusiano mapema sana pale chuo na hakuwa na mazoea na mvulana mwngine yoyote kipindi hicho alianza nao mazoea baadae sana na ndo kipindo ambacho alikuwa hanitaki

2. Alikuwa hanitaki kabisa bila sababu yoyote yaani sikumuumiza wala mcheat ila tu alianz kunichukia na miez kadhaa mbele akarud kunipenda bila sababu yoyote pia.

Huwaga natamani kupotezea ila tu hivyo vtu vinanifanya sometime namkumbuka matendo yake mabaya yote aliyonifanyia najikuta namchukia, hapa ninavyotype kuna missed calls zake 6 za muda huu ila tu najikuta simkubali asee....

Naombeni ushauri juu ya hili wakuu

NAOMBENI POSITIVE ADVICES
MSINIPOPOE
AGE NI 24-28

Nifanyaje juu ya huyu mtu ili japo moyo uweze kurudi kwke.
story yako kama yangu tofauti ni kidogo sana hata umri wangu ni kama ww 24 - 28 .

Hata mimi ninae msichana ananipenda sana yaan tuna miaka 4 kwnye mahusiano alafu haniombi hela kabisa mpka me nijiskie ndo nampa tena nakula mzigo muda wowote yaan ananielewa sana na sio muongo Hata kidogo ila me hayupo moyoni na sina sababu yoyote sielewi.

Ukipewa ushauri unishirikishe pia yaan najihisi na tatizo maana ni mzuri huyu binti ..
 
Back
Top Bottom