Nashindwa kumsamehe Magufuli kwa hili

Kila binadamu yoyote mwenye roho wa Mungu ndani yake ataumizwa na tukio lile, na ikitokea kama kuna aliyefurahi basi huyo ana roho wa shetani!

Ni kweli, sababu pekee ya kutofanyika jambo lolote ni kwasababu tukio hilo limeshuhudiwa live na mashuhuda wawili muhimu, ambao mpaka sasa, wamegoma kata kata kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi. Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Kama huu ndio msingi wa wewe kutomsamehe Magufuli, nakushauri tafuta nauli, kama huna, kopa, nenda Chato, kwenye kaburi lake, upige magoti, umuombe msamaha!.
Baada ya shambulio lile, Rais JPM, hakukaa kimya!.


Kwa vile hakukaa kimya, nakushauri nenda kamuombe msamaha marehemu!.
Kumsingizia marehemu kuna karma mbaya!.

Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana ambao mpaka leo hawajajulikana.

Nakushauri usihukumu usije ukahukumiwa! Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.
P
Pascal Mayalla,najua una uzoefu wa kutosha juu ya maswala ya sheria, na pia wewe NI senior citizen kabisa, una uelewa mkubwa wa mambo pengine kuliko wengi tu humu ndani!

Hivi seriously Pascal unaweza kusema kwa dhati ya nafsi yako, na uwezo wako mkubwa wa kufikiri kwamba sababu za kutofanyika uchunguzi wowote, kukamata mahukiwa hata mmoja ni hao "mashahidi wawili" kutoonyesha ushirikiano?

 
Pascal Mayalla,najua una uzoefu wa kutosha juu ya maswala ya sheria, na pia wewe NI senior citizen kabisa, una uelewa mkubwa wa mambo pengine kuliko wengi tu humu ndani!

Hivi seriously Pascal unaweza kusema kwa dhati ya nafsi yako, na uwezo wako mkubwa wa kufikiri kwamba sababu za kutofanyika uchunguzi wowote, kukamata mahukiwa hata mmoja ni hao "mashahidi wawili" kutoonyesha ushirikiano?

Kaishiwa huyo paschal mayalla
 
Pascal Mayalla,najua una uzoefu wa kutosha juu ya maswala ya sheria, na pia wewe NI senior citizen kabisa, una uelewa mkubwa wa mambo pengine kuliko wengi tu humu ndani!

Hivi seriously Pascal unaweza kusema kwa dhati ya nafsi yako, na uwezo wako mkubwa wa kufikiri kwamba sababu za kutofanyika uchunguzi wowote, kukamata mahukiwa hata mmoja ni hao "mashahidi wawili" kutoonyesha ushirikiano?

Swala la usalama hata wa mwili wako ni la serikali ndo maa ukitak kujiua serikal inaingilia kati hata km lissu let's say amejishambulia lkn serikali bdo wana jukumu la kuchunguza so whatever it may be serikali haiwez kukwep hii liability

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Msamehe,usiposamehe wewe pia hutasamehewa,lakini pia hakuna ushahidi kuwa magu ndio alimpiga risasi lisu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Imagine! Kama hakuhusika na hakuwa na nia mbaya kwann hata dini ziliposema zinaliombea tukio hilo aliyefanya vile akutwe na madhira yoyote magu aliingilia polisi wanafukuza watu makanisani, misikitini kwa virungu? Alikuwa anaogopa nini
 
Watu wanashindwa kufahamu siasa inamichezo mingi michafu!.
Inanipa wakati mgumu kwa namna tukio lile lilivyotokea kuwa kulikuwa na nguvu ya rais!!. Tukio lilifanyika kicholeshaji sana na kigaidi mno watu hufikiri upande mmoja wa kuwa rais anahusika hawafikiri rais pia huwa anamaadui na wanaweza kuchoresha tukio kama lile ili kuharibu taswira yake!.

Vitu haviendi vile wengi wanavyoona picha huchoreshwa..
Matukio kama haya hata kwenye nchi kubwa huleta utata just nchi Kama marekani bado hawajatolea ufafanuzi wa kina juu ya kifo cha aliekuwa rais wao jf Kennedy!. Zigo Kama hilo hukuta serikali iliyofuata ndio hutupiwa.

Nafikiri vitu Kama hivi huvikalia kimya kwamaana huona ukimya unastahili kwa wakati huo,muda wa sisi kuja kutoa hukumu utafika taarifa sahihi zitakapotolewa tuacheni ramli.
kama kiongozi mkuu , ilitakiwa hili aliongelee , tena kama ndo lilikuwa na elements ,za kuhujumu utawala wake , watu walitakiwa wakamatwe pia
 
Yule jamaa alikua mnafiki,Muongo grade 1.

Sikuwahi kumuamini hata mara moja kwa kauli zake baada ya kuona matendo yake...

Anaongea na mahisia yake kuwadanganya wenzie!

Mtu anafuata Kanuni za “Power “ bila kujua kuwa he is also a human being and he will die!

Njia nzuri ya kumtesa adui wako wa kisiasa siyo Kuua asee! Hasira huisha then nini hufuta kama Siyo majuto... You can teach people hata kupitia kesi ambayo hajui atatoka au la sometimes adi anafungwa then unakuja muachia

Unamkamata unampa onyo au anafungwa asijue atatok lini lakini siyo Kuua binadamu mwenzio!

Hata kumtesa binadamu mwenzio akatoka manundu siyo ubinadamu ni unyama na kutostaarabika

Nina wasiwasi kam huyu jamaa ataiona mbingu asee hata kam sijui eti alifanya kitubio sijui nini ila duu amekufa na majuto...


Watu wenye Roho mbaya vile ni kam wachawi na Huhangaika Sana hadi waje kuikata roho, wengine hadi Hunya ndipo wafe!

Ewe Mkuu yeyote usisahau kuwa na wewe ni Mtu/ Binadamu kama mwengine yeyote Mtu.

Kuua Binadamu mwenzio ni kujifanya wewe Siyo binadamu ni Zaidi yao kumbe wapi...
Ili kuepusha madaraka kuwapanda kichwani na kujiona Miungu, wafalme wa Dola ya Rumi walikua wanaajili mtu ambaye kazi yake ilikua kumkumbusha Mfalme kuwa ni binadamu na atakufa..

Mtumishi huyo alikua anatamka maneno “ you’re Mortal Cesar , You are Mortal Cesar, You are Mortal cesar “ hasa mfalme anapokua ameshinda vita au amefanya jambo la kishujaa”

Mfalme anae jua kuwa ipo siku atakufa humuepusha na kufanya mambo ya kipumbavu kama mengi aliyoyafanya Bwana Yule...

Usiue,Usiue!
Historia ya Magufuli itaandikwa ukurasa mmoja na akina Adolf Hitler, Iddi Amini, Benito Mussolini na Mobutu
 
Ulikwepo kipindi wasaidiz wanaiandika? chadema wengi tunaendeshwa na chuki na sio akili zetu timamu , kuna vitu unavijibu hata mtu timamu anaamua kucheka tu
The fact ni kwamba Lissu alipigwa risasi kwa amri ya Magufuli. The man was a devil!
 
I declare interest Mimi sio mwanachadema kabisa kabisa lakini nikiwa kama mtanzania mwenye akili timamu nikifikiria tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi pale Dodoma ile 2017 naumia mno.

Kushambuliwa kwa binadamu kama mnyama mchana kweupe kwenye majengo ya serikali inaumiza saana, lakini kinachouma zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja alieshikiliwa wala kuhojiwa shameful, tutawaambia nini watoto wetu huko baadae.

Kitendo cha Magufuli Rais wa nchi Amiri jeshi mkuu mfariji mkuu kukaa kimya bila kujitokeza hadharani na kukemea lile tukio liliniumiza mno kwa nature ya Magu aliwezaje kukaa kimya what was behind the scenes

Je angeshambuliwa Polepole kama Lissu je mzee angekaa kimya? Lissu alipigwa risasi na nani, nani aliwatuma, kwa maslahi ya nani ili iweje nikikumbuka hili tukio hata unitajie mema mia ya John siwezi kuyaona

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

SAMEHE USAMEHEWE AU
 
Back
Top Bottom