Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,048
- 25,333
Mkuu huyu wa mwanzo nilimwmbia hivyo sbabu tulitofautiana mambo fulani, nilikua nina hasira nae halafu bado ananitaka turudiane khali ya kuwa tofauti zetu hakutaka kuniweka wazi.
Mie ndio nikajibu mimi mke wa mtu sitaki mazoea nae, mara zote huniuliza kama kweli nimeolewa na humjibu ndio
Kuhusu huyu mjaji nyumbn yeye ndio anafosi tuoane sababu anasema kachoka kuwa bachela na anahisi mimi ni mtu sahihi kwake
sasa si umrudie huyoex wako alafu uache kumpotezea muda kaka wa watu