Nashindwa kujielewa hii ni hali gani?

unatatizo la kutaka huruma kwa watu, nilikua na mdogo wangu alitusumbua sana, yaan yeye alikua analia shuleni anawaomba msaada wamsaidie, kanisani wanachanga wanampa dogo!
.
.
nilivyokuja kusikia niliumia na kuudhika sana!
.
.
dogo tatizo la watu kulala njaa sio lako, Mungu anajua kwanini ipo hivyo, ukiweza wasaidie usipoweza kausha na si lazima uwape msaada hio ipo tuu, jichanganye na watu, anza kushabikia mpira na usitoke nje, toka nenda maeneo ya beach, tafuta marafiki wa kutembeleana na kutoka kutembea, tafuta mpenz ila hapa kwa mpenz chunguza mdada naekupenda maana inavyoonesha utakua down sana mdada akikukataa, kazana kwenye masomo yako kwa juhudi bila kuwaza kumbukumbu za zamani, na zaidi hii dunia hatifahamu ilianzaje na kwanini ipo hivi, kuwa positive daima!!!!
.
.
maisha haya hayapendi watu wenye kulia lia, wenye kutafuta huruma, inawahitaji watu wenye jeuri ya kuyaongoza maisha wanavyotaka!
Ahsante
 
Mkuu pole sana fanya yafuatayo:

Uwe mtu wa kwenda beach

Uwe mtu wa kuwatembelea sana watoto wanaolelewa kwenye vituo na kufurahi nao wikiendi

Upate demu na umzalishe, kazi imeishia hapo! Usisahau na kusaka pesa
 
Hauko pekeyako, binadamu tuna uchizi ila tu hatuelezani;
kikubwa Badilisha life style/Mazingira
Usihangaike kutaka kujitibu hio hali mana kuna vitu duniani huwa havina majibu vina disappear/appear bila sababu za msingi!
kadri unavyopotezea hio hali ndio pona yako, Wote tunaotoa ushauri tushapitia vitu vya namna hio vinatofautiana tu kidogo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom